Wifi pumzika hata km ndio ushangingi wako sasa umepitiliza hutulii 😹😹😹Hahaha unajielezea mwenyewe jinsi ulivyo Mimi napitisha kong'oteo humo humo bwawani
Kweli Mahari sijamaliza haya njoo tulale uendelee kulikalia kong'oteo mpaka ulie na kwikwiWifi pumzika hata km ndio ushangingi wako sasa umepitiliza hutulii 😹😹😹
Mi nalala msalimie kaka mwambie akupunguzie dose mahari yenyewe hatujamaliza kwenu wasije kutususia bure
Wifi una ngebe ujue mie mmeo mdogo 😹😹😹Kweli Mahari sijamaliza haya njoo tulale uendelee kulikalia kong'oteo mpaka ulie na kwikwi
Utachezea kong'oteo mpaka ulie kikwenu we jikate fyuzi tu hapo jifanye fyuzi imeungua kichwaniWifi una ngebe ujue mie mmeo mdogo 😹😹😹
Kaka akifa nakurithi
Nina dirhams hapa Vipi unataka?Ukuwadi unauweza.
Kumbe na wewe ni wale wale!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mchokozi, nakusema kwa ba tamu.Unalo leo
Wanashindwa kujificha, dhamira inawashinda.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi umeanzaa, hao hawataki kujulikana.
Ko muende nao kisiri siri, Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliii?Wanashindwa kujificha, dhamira inawashinda.
Barida sana, vipi weyeKaka angu unaendeleaje
Niko poa kabisaBarida sana, vipi weye