Katika Maisha jaribu kufuata njia yako mwenyewe

Katika Maisha jaribu kufuata njia yako mwenyewe

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
sometimes-you-have.jpg


Mara nyingi tumekuwa tunaendesha maisha yetu kwa kuangalia watu wengine wanaendesha vipi maisha yao, kitu ambacho si sahihi kabisa, Katika maisha unatakiwa kuwa tofauti nawenzako, unatakiwa utofautiane na wenzako ili ufanikiwe. Tumekuwa tunafanya mambo kwa kufuata mkumbo, Anacho fanya jirani yako na wewe unataka ufanye
 
tumekupata mkuu. Tunashukuru kwa ushauri.
 
Katika kufuata Mambo yako ni kwamba kama wenzako wanapita kushoto basi wewe pita kulia, Wakilala wewe ndo unaamuka, wakiamka wewe ndo unalala, Mara nyingi maisha na hata kazi tunazo zifanya zinakuwa ngumu sana kwa sababu kuu moja, tulifuata njia wanayo pita watu wengine, hivyo tukatengeneza jamu,
 
Katika kufuata Mambo yako ni kwamba kama wenzako wanapita kushoto basi wewe pita kulia, Wakilala wewe ndo unaamuka, wakiamka wewe ndo unalala, Mara nyingi maisha na hata kazi tunazo zifanya zinakuwa ngumu sana kwa sababu kuu moja, tulifuata njia wanayo pita watu wengine, hivyo tukatengeneza jamu,

Nje ya box )18(
 
Kuna wakati unaweza anzisha jambo watu wasikuelewe ila watakuja kukuelwa baadae sana, Wenzako wanafuga Kuku wewe anza project ya kufuga mbwa, Eneo lako wamejikita kufuga Kuku wewe fuga samaki, Ila kikubwa tafuta uelekeo wako mwenyewe kabisa uelekeo ambao wenzako watakushangaa sana tena mno ila mwishoni watakuelewa.
 
Back
Top Bottom