CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Katika mafanikioa yako pambana sana na hali yako na utatoboa man.
Iwe ni kwenye biashara iwe ni kwenye kazi na respect sana Dream yako. You have a dream na respect sana your own dream na kamwe mtu awaye yoyote asiweze kukushikia akili.
Hutakiwa kufuata kwa 100% ninachoelezaga humu ila unatakiwa kujiongeza na wewe. Nikisema Kujiajiri ni kuzuri kuliko ajira yes kwa upande wangu ni sawa kwa 100%; ila kwako inaweza kuwa sio sawa kabisa na ajira kwako ni sawa kabisa.
So tunapotoa mafundisho sio kwamba ndo uyafuate kwa 100% no chukua robo na changanya na ya kwako na fanyia kazi.
Kuna mtu alisema huwa nawakashifu walioajiriwa na kuwaponda; hapana!! Kama umeajiriwa wewe komaa na ajira yako na kama unaacha unaacha wewe kama wewe na si uache kwamba Chasha alishauri niache kazi na nilime au nikafanye biashara nyingine.
Iwe ni kwenye biashara iwe ni kwenye kazi na respect sana Dream yako. You have a dream na respect sana your own dream na kamwe mtu awaye yoyote asiweze kukushikia akili.
Hutakiwa kufuata kwa 100% ninachoelezaga humu ila unatakiwa kujiongeza na wewe. Nikisema Kujiajiri ni kuzuri kuliko ajira yes kwa upande wangu ni sawa kwa 100%; ila kwako inaweza kuwa sio sawa kabisa na ajira kwako ni sawa kabisa.
So tunapotoa mafundisho sio kwamba ndo uyafuate kwa 100% no chukua robo na changanya na ya kwako na fanyia kazi.
Kuna mtu alisema huwa nawakashifu walioajiriwa na kuwaponda; hapana!! Kama umeajiriwa wewe komaa na ajira yako na kama unaacha unaacha wewe kama wewe na si uache kwamba Chasha alishauri niache kazi na nilime au nikafanye biashara nyingine.