Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
huyu alioingia ktk urais ilisemekana ni mpenz wa michezo.tujiulize baada ya miaka 10 ametuachia nini wanamichezo?angalau b.mkapa alituachia uwanja. kikwete kaua basketball ambayo ilisemekana alikuwa mpenz sana wa mchezo huo.football akamleta kilaza marcio maximo yakamshnda akamwacha sasa. mnisaidie ametuachia kumbukumbu gani nzuri wanamichezo?