ADVENTURE JOHN
Member
- Jan 30, 2014
- 34
- 1
lugha ya taifa iendelee kuwa kiswahili lakini lugha ya kufundishia iwe kiingereza kuanzia shule za msingi (darasa la 1).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi turudi nyuma kwanza tuangalie sababu zipi zilimfanya nyerere akifanye Kiswahil kuwa ndiyo lugha kuu ya kufundishia, ni zipi? bado zipo?..lugha ya taifa iendelee kuwa kiswahili lakini lugha ya kufundishia iwe kiingereza kuanzia shule za msingi (darasa la 1).