Katika siasa za Tanzania, Kinana hana deni, kamaliza yote kwa ufanisi mkubwa

Katika siasa za Tanzania, Kinana hana deni, kamaliza yote kwa ufanisi mkubwa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani katika wanasiasa wenye maksi zote katika siasa za Tanzania, ni mzee Kinana, kamaliza yote, na bila shaka CCM itamuandalia sherehe kubwa za kumuaga akienda kupumzika na wajukuu.

Ni nguli wa kisiasa ambaye sijui ni nani ataandika hotuba ya kusherekea maisha yake katika utumishi wa umma.

Amekuwa kampeni meneja wa maraisi zaidi ya watatu, na mengine mengi aliyofanya.

Tunajivunia kuwa na mtanzania wa kiwango chake.

Pia soma
 
Ukiacha msaada kwa chama chake ameifanyia nini nchi cha kukumbukwa nacho??
Yeye amecheza na soft power, huwezi kumuona anajenga barabara kwa mkono wake, ila yuko katika upishi wa human resources and policies
 
Back
Top Bottom