Uchaguzi 2020 Katika uchaguzi wa mwaka huu mwezi Oktoba angalia mgombea mwenye sifa zifuataza

Uchaguzi 2020 Katika uchaguzi wa mwaka huu mwezi Oktoba angalia mgombea mwenye sifa zifuataza

Joined
Jan 9, 2020
Posts
54
Reaction score
95
Katika uchaguzi wa mwaka huu mwezi October angalia mgombea mwenye sifa zifuatazo:

1. Ataliweka taifa kuwa la amani, akamate wote wasiojulikana walioua, poteza na kuumiza watanzania wenzetu
Wanaokamatwa kesi zao zisikilizwe na kumalizika ili haki ipatikane

2. Atakayeteua watu weledi wenye hekima ktk nafasi hasa za RC na DC ili waongoze umma sio wanakaa ofisi za umma ila wanakitumikia chama cha siasa.

3. Atakayeheshimu katiba na sheria za nchi bila kuvunja sheria na kuendesha nchi kwa matamko na kauli zake.

4. Atakayeheshimu mihimili mingine na kuiacha iwe huru na kufanya kazi bila kuingiliwa.

5. Atakayeye kuwa na hekima anavyotoa hotuba popote, asitukane watendaji hadharani au kuwasema watu vibaya akati wapo katika matatizo.

6. Atakayependa na kuheshimu siasa safi na uhuru wa kujieleza na kuchagua kwa maana ndo msingi wa maendeleo

7. Ambaye hatakua mbaguzi wa kisiasa, mwenye kuona watanzania wote ni wake na wote wana haki sawa

8. Atakayekua mpenda kukosolewa na kuheshimu maoni ya wengine, kwamba yeye hawezi kuona kila kitu, hivyo ambaye atasikiliza zaidi kuliko kuongea zaidi.

9. Atakayeheshimu matumizi ya kodi za wananchi kwa kuruhusu wananchi (bunge) wazipangie cha kufanya sio mtu mmoja kuamua nini pesa zetu zifanye

10. Atakayekua si mbinafsi kupendelea kwake/kwao

The Presidaa!!!!
 
Mh acha masihara bwana kwahiyo nchii hii yote iwe chini yako mzee duuh

May be in your world
 
Atakaye hakikisha anainua uchumi wa mtu mmoja mmoja 'welfare economy'
Katika uchaguzi wa mwaka huu mwezi October angalia mgombea mwenye sifa zifuatazo:

1. Ataliweka taifa kuwa la amani, akamate wote wasiojulikana walioua, poteza na kuumiza watanzania wenzetu
Wanaokamatwa kesi zao zisikilizwe na kumalizika ili haki ipatikane

2. Atakayeteua watu weledi wenye hekima ktk nafasi hasa za RC na DC ili waongoze umma sio wanakaa ofisi za umma ila wanakitumikia chama cha siasa.

3. Atakayeheshimu katiba na sheria za nchi bila kuvunja sheria na kuendesha nchi kwa matamko na kauli zake.

4. Atakayeheshimu mihimili mingine na kuiacha iwe huru na kufanya kazi bila kuingiliwa.

5. Atakayeye kuwa na hekima anavyotoa hotuba popote, asitukane watendaji hadharani au kuwasema watu vibaya akati wapo katika matatizo.

6. Atakayependa na kuheshimu siasa safi na uhuru wa kujieleza na kuchagua kwa maana ndo msingi wa maendeleo

7. Ambaye hatakua mbaguzi wa kisiasa, mwenye kuona watanzania wote ni wake na wote wana haki sawa

8. Atakayekua mpenda kukosolewa na kuheshimu maoni ya wengine, kwamba yeye hawezi kuona kila kitu, hivyo ambaye atasikiliza zaidi kuliko kuongea zaidi.

9. Atakayeheshimu matumizi ya kodi za wananchi kwa kuruhusu wananchi (bunge) wazipangie cha kufanya sio mtu mmoja kuamua nini pesa zetu zifanye

10. Atakayekua si mbinafsi kupendelea kwake/kwao

The Presidaa!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom