SoC03 Katika ujenzi wa nchi

SoC03 Katika ujenzi wa nchi

Stories of Change - 2023 Competition

Petro Masunga

Member
Joined
May 5, 2023
Posts
7
Reaction score
7
nchi yetu, itakuwa na vijana wenye kujikimu kimaisha iwapo tu tutajitambua kwamba sisi ndiyo wajenzi wa nchi. tukijua kwamba sisi ndiyo wategemewa wa kesho, fursa zilizopo katika jamii yetu ni nyingi mno. za kutosha kujipatia kipato. kijana aliye jitambua hachagui kazi eti amesomea nini, bali huwa tayari kwa fursa zilizopo ajapo kosa ajira, lakini atakuwa tayari kujipatia kipato kwa fursa zinazo mzunguka. hivyo naomba kwa wote tupunguze lawama, na tuwe tayari kwa kuijenga nchi yetu, kazi zipo. hata kama ajira hazipo. walakini kazi zipo nyingi tu, vijana ni nguvu kazi ya taifa, tuamke sote tukaijenge nchi yetu!
Asante
 
Upvote 2
Back
Top Bottom