Katika ulimwengu huu wa digitali, ni utahira kukataa kuletewa Intaneti ya kasi ya juu kwa bei nafuu ya Elon Musk

Katika ulimwengu huu wa digitali, ni utahira kukataa kuletewa Intaneti ya kasi ya juu kwa bei nafuu ya Elon Musk

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Na wote tunashuhudia kwa jinsi internet inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, Dunia ya sasa Internet ni hitaji moja wapo muhimu katika kuondoa ujinga, kurahisisha mawasiliano, kufanya tafiti, kufanya biashara, n.k.

Ni muda sasa umepita ishu ya internet ya Elon Musk kuletwa bongo haizungumziwi tena na ni dalili ya wazi hatuwezi kunufaika na huduma hii, Elon yupo bize hanaga mambo ya kubembeleza.

Speed ya internet ya Elon ni mara 10 ya internet zetu hizi za mitandao ya simu

Internet ya Elon inatumia sattelite kama dstv na azam, inaweza kupatikana hata kwenye ambonde, milima na nyikani.

Internet ya Elon ingeweza kufanya iwe rahisi kufanya E - Tourism, yaani utalii wa kidijitali mtu ana stream live serengeti.

Internet ya Elon kwa speed yake ni cheap, anachaji kulingana na uchumi wa nchi, kwa hapa kwetu ingekuwa kama elf 70 tu kwa mwezi.

====

Pia soma: Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
 
Na wote tunashuhudia kwa jinsi internet inavyozidi kuwa sehemu kubwa ya maisha yetu, Dunia ya sasa Internet ni hitaji moja wapo muhimu katika kuondoa ujinga, kurahisisha mawasiliano, kufanya tafiti, kufanya biashara, n.k.

Ni muda sasa umepita ishu ya internet ya Elon Musk kuletwa bongo haizungumziwi tena na ni dalili ya wazi hatuwezi kunufaika na huduma hii, Elon yupo bize hanaga mambo ya kubembeleza.

Speed ya internet ya Elon ni mara 10 ya internet zetu hizi za mitandao ya simu

Internet ya Elon inatumia sattelite kama dstv na azam, inaweza kupatikana hata kwenye ambonde, milima na nyikani.

Internet ya Elon ingeweza kufanya iwe rahisi kufanya E - Tourism, yaani utalii wa kidijitali mtu ana stream live serengeti.

Internet ya Elon kwa speed yake ni cheap, anachaji kulingana na uchumi wa nchi, kwa hapa kwetu ingekuwa kama elf 70 tu kwa mwezi.
Hata Hawa walitulaghai watanzania hapo zamani. Kumbe wanaleya agenda za kitoto. Kwa Sasa tunakatwa miamala vya kutosha.


Kwa mfano
 
Aliyekwambia kwamba hizi bundle za sasa ni gharama hii iliyopo sababu ya overheads (gharama ya uendeshaji ni nani) ; Nadhani ungejua gharama hizi ni ulafi wa Serikali yako ungebadilisha ulichoandika...

Kipindi Skype imekuja Tanzania ilikatazwa ili isiue / isipunguze mapato ya TTCL ; hawa jamaa wanaona ni vipi hata Whatsapp Call inaweza kuwa charged in short tatizo sio Mitandao ni Serikali...

 
Back
Top Bottom