Katoto kangu kanaumwa ugonjwa wa ngozi jamani

Katoto kangu kanaumwa ugonjwa wa ngozi jamani

Jaribu kwenda kwenye hospital kubwa nakushauri jaribu kwenda Bugando pale unaweza pata daktari nzuri,kuna bro alikua na matatizo kwenye ngozi full maupele yenye usaha hospital zingine alienda anaambiwa hakuna tatizo wakati hali yake ni mbaya akaamua kwenda bugando na kuhudhuria clinic kwa miezi kadhaa now yuko poa sana
Asante sana wangu
 
Back
Top Bottom