kwani leo sikukuuu... ....
...akili unayo ila mvivu kuitumia
ngoja nikupe maudhui ya hiyo picha.......akili unayo ila mvivu kuitumia
ngoja nikupe maudhui ya hiyo picha....
hapo umegusa imani ya jamii fulani..q..
Wanawake ni zaidi ya wafungwa.q.
Mtoto wa jamii..y.. Anataka kuja kufurahi na mwenzie..q..
Baba mtu..q.. Anaingilia kati bila kujua hiyo ni michezo ya kitoto.(pengine kwa kusukumwa na chuki)
mwisho wa siku jamii .. Y..inawasanifu.....na kupata habari ya kuuza duniani....
... ....
Wanakandamizwa na sheria za dini