Katuni wa the Standard

katiba mpya Kenya imeanza kufanya vitu vyake...ule ufisadi uliokuwa una kwenda kimya kimya sasa wahusika wanaswekwa rumande kuelekea mahakamani..........................................kama hiy katuni inavyojieleza........................hapo yupo William Rutto,,,,,,,Henry Kosygey na wengineo.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…