Shujaa Mwendazake JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 4,016 Reaction score 6,759 Jul 6, 2021 #1 Hii ndo tafakari niliyoielewa toka kwa bwana Magiri. Je, ni nini unachokiona kutoka kwa mchoro huu wa Bwana Kingo?
Hii ndo tafakari niliyoielewa toka kwa bwana Magiri. Je, ni nini unachokiona kutoka kwa mchoro huu wa Bwana Kingo?
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Jul 6, 2021 #2 Kingo alipotelea wapi huyu, nazimiss sana katuni zake za miaka ya 90 zilikuwa fikirishi sana hazikuwa na maandishi yoyote.
Kingo alipotelea wapi huyu, nazimiss sana katuni zake za miaka ya 90 zilikuwa fikirishi sana hazikuwa na maandishi yoyote.
MAPITO Mwanza JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 4,236 Reaction score 5,907 Jul 6, 2021 #3 Mr Vasco alianzisha bwaga moyo pot Mr jiwe akatia nyundo kubwaa bibie kaanzisha ujenzi upyaa.
Trillion JF-Expert Member Joined Apr 24, 2018 Posts 3,330 Reaction score 7,494 Jul 6, 2021 #4 Kikwete alijenga nchi, Mwendawazimu akatia nyundo na kuivunja vunja misingi ya Taifa😂😂😂 Samia anajaribu kujenga upya nchi ilioparaganyika. Bila katiba mpya ya kuwadhibiti hawa wanaojiita watawala, tutabaki kuwa taifa lenye laana milele, hatufiki popote. Na maendeleo tutakua tunaysikia tu kwa nchi za wenzetu.
Kikwete alijenga nchi, Mwendawazimu akatia nyundo na kuivunja vunja misingi ya Taifa😂😂😂 Samia anajaribu kujenga upya nchi ilioparaganyika. Bila katiba mpya ya kuwadhibiti hawa wanaojiita watawala, tutabaki kuwa taifa lenye laana milele, hatufiki popote. Na maendeleo tutakua tunaysikia tu kwa nchi za wenzetu.
The Icebreaker JF-Expert Member Joined Feb 11, 2018 Posts 22,278 Reaction score 65,817 Jul 6, 2021 #5 Kingo wakitambo sana.
xng hua JF-Expert Member Joined Sep 24, 2016 Posts 3,302 Reaction score 5,379 Jul 6, 2021 #6 Awe tuu specific kua ni ujenzi wa Bagamoyo Port, ila kiujumla Magu aliziendeleza bandari za Dar - Tanga mtwara kuliko raisi yoyote alopita. Huyo kingo hajui anaucheza mziki wa nani ye mirindimo ndo inayomvutia.
Awe tuu specific kua ni ujenzi wa Bagamoyo Port, ila kiujumla Magu aliziendeleza bandari za Dar - Tanga mtwara kuliko raisi yoyote alopita. Huyo kingo hajui anaucheza mziki wa nani ye mirindimo ndo inayomvutia.
M Matrix19 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2020 Posts 7,731 Reaction score 13,611 Jul 6, 2021 #7 Jamaa mshamba sana! In Nape's voice.
lee Vladimir cleef JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 9,571 Reaction score 35,475 Jul 6, 2021 #8 Akavunja mipango wa bandari ya Bagamoyo, lakini yeye akaja na uwanja wa ndege chattou, bandari ya uvuvi chattou, mbuga ya wanyama chatou, hospitali kubwa chattou, vyuo kama veta chattou, mkoa chattou, chatou.
Akavunja mipango wa bandari ya Bagamoyo, lakini yeye akaja na uwanja wa ndege chattou, bandari ya uvuvi chattou, mbuga ya wanyama chatou, hospitali kubwa chattou, vyuo kama veta chattou, mkoa chattou, chatou.