Katuni ya Kipanya: Baada ya kupotea majimboni kwa miaka minne, hatimaye sasa wabunge wameanza kurudi na kibaba cha sukari

Katuni ya Kipanya: Baada ya kupotea majimboni kwa miaka minne, hatimaye sasa wabunge wameanza kurudi na kibaba cha sukari

morees

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2019
Posts
288
Reaction score
619
Huu ndo mtizamo wa mchora vibonzo nchini Masood kipanya.

Baada ya kupotea majimboni kwa miaka minne hatimae sasa wabunge wameanza kurudi na kibaba cha sukari.

Wao wanalamba Asali wananchi wanalambishwa sukari. 😂😂😂

Screenshot_20230816-085520_Instagram.jpg
 
Huu ndo mtizamo wa mchora vibonzo nnchini Masood kipanya..
Baada ya kupotea majimboni kwa miaka minne hatimae sasa wabunge wameanza kurudi na kibaba cha sukari...

Wao wanalamba Asali wananchi wanalambishwa sukari....[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa masikini ni rahisi kutawaliwa huwezi kukata hiyo sukali hata iwe ndogo kiasi gani.
 
Back
Top Bottom