Baba Dayana
Senior Member
- Jul 1, 2016
- 144
- 330
Nilichokielewa kutoka kwenye katuni ya Masoud Kipanya.
Hili eneo ni makaburini na hapo unaonekana mzimu ukiwa umeandikwa TLS, kwahiyo ni maeneo waliyozikwa watu wa TLS (Tawala zilizopita).
Mzimu wa TLS (Mwabukusi) ndio umefufuka juu unaona mwezi ukiwa umeng'aa ikimaanisha ni Usiku ila unaona kwa msaada wa mwezi.
Hapo anamaanisha matukio ni mengi, tupo kwenye GIZA nene ila mwezi unasaidia kuonyesha hayo maovu.
Mzimu umeshika kiuno, hapo anamaanisha mambo ya kunyooka nayo ni mengi mpaka anashangaa kwa kushika kiuno.
Mungu akusimamie Mwabukusi kwenye hii safari ngumu iliyopo mbele yako, tulikuamini na tunaendelea kukuamini utaweza.
Kwasasa watetezi wa HAKI hatupo salama, tunakuhitaji sana kipindi hiki kuliko wakati wowote.
Hili eneo ni makaburini na hapo unaonekana mzimu ukiwa umeandikwa TLS, kwahiyo ni maeneo waliyozikwa watu wa TLS (Tawala zilizopita).
Mzimu wa TLS (Mwabukusi) ndio umefufuka juu unaona mwezi ukiwa umeng'aa ikimaanisha ni Usiku ila unaona kwa msaada wa mwezi.
Hapo anamaanisha matukio ni mengi, tupo kwenye GIZA nene ila mwezi unasaidia kuonyesha hayo maovu.
Mzimu umeshika kiuno, hapo anamaanisha mambo ya kunyooka nayo ni mengi mpaka anashangaa kwa kushika kiuno.
Mungu akusimamie Mwabukusi kwenye hii safari ngumu iliyopo mbele yako, tulikuamini na tunaendelea kukuamini utaweza.
Kwasasa watetezi wa HAKI hatupo salama, tunakuhitaji sana kipindi hiki kuliko wakati wowote.