Katuni za Watu wazima zinapatikana Tanzania tu,

Katuni za Watu wazima zinapatikana Tanzania tu,

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Yaani kama umeshavuka miaka 25 basi kuangalia Tom & Jerry inakuwa ni vioja na kuonekana mtu wa ajabu sana,bado hujakua.Ila kama unataka kufurahi kama enzi zile basi angalia viongozi wa Tanzania wanapozungumza ,wawe wa serikali au wa vyama vya siasa,hata huko kweny vyuo au hata wale maprofesa kwa kweli utafarijika na kujihisi umerudi utotoni kabisa,

Hata vitendo na maamuzi yanakuwa ya kufurahisha maana hata akilini hayaingii lakini inabidi uyapitishe kwa nguvu ili kuzidisha kuwaona ni watu wa ajabu,yaani wanayoyasema ni mtihani mtupu,kuweza kuyakubali,si ajabu kuona watu wazima hao kuzungumza uwongo,yaani uongo kuugeuza kuwa ukweli kwao ndio moja ya fani,japo mtazamaji unaona wazi wazi hapo unadanganywa,kinachobakia unazidi kucheka kwa sauti.

Sasa tujiulize wasomi mliomo humu kifanywe nini ? haki ya Mungu majibu mtakayotoa yatazidi kuvunja mbavu,inafaa wanasayansi waje kutufanyia uchunguzi,hilo nalo neno ! Wenginewetu najua mnahisi nimesema jambo la ajabu na mnaanza kufurahi.
Tufanye nini au kitu gani au jambo gani ili akili zetu na za viongozi wetu zikae sawa ?
 
Ngoja tujiulize kwanza.....tuendelee kukopa kujenga miradi ...ili nchi ije ipigwe mnada ....au tuendelee kuongeza tozo ....wananchi waumie[emoji23][emoji23]
 
Hii nchi ni yakupiga pesa mengine kausha tu
Umeona eei ,halafu hivyo umesema umenikumbusha yule kamanda Mkuu wa Dodoma Mheshimiwa Muroto,yaani ananiwacha hoi kabisa,Ndugai cha mtoto,yaani hujui yupi anamshinda mwenziwe.,nadhani kukausha haitoshi inatubidi tusinyae kabisa.
 
Tukope ila muhimu kuzingatia maslahi mapana ya Taifa huku tukiandaa misingi ya kupunguza mikopo.....Ila Kiongozi kufikia hatua ya kuhisi kuna siku Nchi itapigwa mnada, sio kauli ya kizalendo.


Tunahitaji serious Reforms katika mifumo yote hasa ya kiutawala inayohusisha maamuzi yabebayo hatima ya Taifa.
 
Tukope ila muhimu kuzingatia maslahi mapana ya Taifa huku tukiandaa misingi ya kupunguza mikopo.....Ila Kiongozi kufikia hatua ya kuhisi kuna siku Nchi itapigwa mnada, sio kauli ya kizalendo.


Tunahitaji serious Reforms katika mifumo yote hasa ya kiutawala inayohusisha maamuzi yabebayo hatima ya Taifa.
Bob , asilimia 100%ya Bunge ni CCM.

Serikali ya CCM

Mahakama ...CCM

Vyombo vya Dola ...CCM.


nani wakumnyooshea kidole mwenzake ??? HAO watu wanaangalia matumbo yao na familia zao.


Ndio maana unaona TUNA BUNGE LAKISENGE DUNIA NZIMA, SISI NDIO TUNA BUNGE LA KIPUMBAVU, WAZEE WA NDIOOOOO,

uongee upuuuzi ..ndiiiiiiooo

Uongeee ufala...yanachekaaaaaa huku ya napiga meza


Uongeee uongo...... Yanapiga makofi


Kuna wabunge wamo wao wana zaidi ya miaka 10 mule, kila siku wanaongelea kitu kile kile na hakitekelezwi...




Wewe fikiria, MBUNGE WA CCM, ATAPINGA WEEEE MASUALA FULANI FULANI, WAKIFIKA KWENYE KUPITISHA BAJETI SASA... woteee woteee wanakubali.
 
Bob , asilimia 100%ya Bunge ni CCM.

Serikali ya CCM

Mahakama ...CCM

Vyombo vya Dola ...CCM.


nani wakumnyooshea kidole mwenzake ??? HAO watu wanaangalia matumbo yao na familia zao.


Ndio maana unaona TUNA BUNGE LAKISENGE DUNIA NZIMA, SISI NDIO TUNA BUNGE LA KIPUMBAVU, WAZEE WA NDIOOOOO,

uongee upuuuzi ..ndiiiiiiooo

Uongeee ufala...yanachekaaaaaa huku ya napiga meza


Uongeee uongo...... Yanapiga makofi


Kuna wabunge wamo wao wana zaidi ya miaka 10 mule, kila siku wanaongelea kitu kile kile na hakitekelezwi...




Wewe fikiria, MBUNGE WA CCM, ATAPINGA WEEEE MASUALA FULANI FULANI, WAKIFIKA KWENYE KUPITISHA BAJETI SASA... woteee woteee wanakubali.
Yaani kama wangekuwa wanaonyesha bunge laivu,ingekuwa powa sana,lazima kila mtu angekuwa mfuatiliaji wa vikao aka episodes,kuikosa ni kama umekosa series zote.
Makalulu kila kona,Tanzania tunaishi kwa muda mrefu kwa sababu raha ya nchi hii haipatikani popote pale duniani isipokuwa hapa Tanzania,watalii huiona Tanzania kama nchi ya kupunguza msongo wa mawazo,mpaka wametustukia mambo yako hayaendi vizuri kama hujatoa chochote hata ufuate sheria za mbinguni bado hapa Tanzania itakubidi uzungumze ili ueleweke,bila ya hivyo jambo lako litaota magugu maji.
 
Back
Top Bottom