Kaugali na maziwa ya mgando kwa wanawake

Yaani nilivyoona heading, nikapata na hamu ya ugali na mtindi. Mchakato wa kupata mtindi nikaanza kufanya akilini. Duh kuingia humu, majanga.
Kama utoko ni mzito sana na unatoa harufu, uwezekano mkubwa ni fungal au yeast infections. Hii uchangiwa pamoja na mambo mengine matumizi makubwa ya antibiotics, ujauzito, uchafu, kutengeneza mazingira mazuri ya fungus huko chini (aina ya chupi na usafi wake).
Utoko wa kawaida waweza kuwa mweupe na mzito kiasi kuendana na cycle ya mwezi ya mwanamke na mara nyingi hasa sisi tunajiswafi kwa kidole hata bila sabuni huwa hauna harufu. Kwa waosha juu juu tu (wataalamu) scent ile ya kike inakuwepo, sio fishy lkn.
 
tehteh! Aisee! Dah! Na sabuni ya aerial!

ila hizi vitu vinasaidia sana for real,

maji ya kawaida ila yawe yana uvugu vugu

maji ya iliki,maji yenye dettol,maji ya vinegar

maji ya mchele,asaliau hata rose water!!!!!!!
 
ila hizi vitu vinasaidia sana for real,

maji ya kawaida ila yawe yana uvugu vugu

maji ya iliki,maji yenye dettol,maji ya vinegar

maji ya mchele,asaliau hata rose water!!!!!!!

yeah! There you are! Ujue wanawake wengne bana hawaelewi yaani hadi unaenda cjui kwa mpenzi wako cjui bf mume ntasamehe! Hujajichunguza tu uende zako kwa dokta! Had ukamnusishe mwenzio harufu za mikojo na kumlisha ugali kwa mtindi wakati cyo msukuma ah! Jaman wakike 2jiswafisheni icje kutokea ya panya kafwia humo khaa!
 
Kutojisafi vizur ni sababu ya utoko a.k.a gwasu.
Na pia kutafuna mchele mbichi nao ni tatizo.Lazima utoe urojo....
Inabidi k isafishwe vizur na maji mengi,ukiona kidole kinagoma kuingia ujue kitu kimetakata wakat wakuosha.
 

Wachafu hao wanawake, hawaoshi vizuri maeneo yao nyeti.
 

nimeingia fasta nikijua ni ugali na mtindi
vya kula haaaa!!!ni fungus hizo!!
 
wewe utakuwa mchaga, mbahili kiasi cha kushindwa kumnunulia hata dettol demu wako. shamelesssssss
 
Mambo gani tena haya?aaaaah!!!! Me nilifikiri ni ugali na maziwa mgando,kumbe ni kinyume aaaaaaah.
 
haahaaha! Dah! Mkuu umenikumbushaje? A.k.a thoda ya mchele! Umenkmbsha mbaali ! Tehtehteh! Togwa na bwimbwi! Haahaaa! U made my day!
My dear, nasubiri KOBE langu unijibu name nipete my DAY !! god bless U.
 
Kutojisafi vizur ni sababu ya utoko a.k.a gwasu.
Na pia kutafuna mchele mbichi nao ni tatizo.Lazima utoe urojo....
Inabidi k isafishwe vizur na maji mengi,ukiona kidole kinagoma kuingia ujue kitu kimetakata wakat wakuosha.

yes there your my dear.....

unajua kuna ile mda ukijisafisha vizuri
unakuta kitu kiko tight,hamna huo mgando wala nini
 
The vagina is a self cleaning oven, no need to fagia with chelewa kuosha na aerial na kufanya douching
 
King'asti anahusika sana hapo Ila nijuavyo mie sio kawaida Ute Huo Kuwa kama maziwa mgando.
 
Hako kaneno kanatumiwa sana na wenyeji wa nyanda za juu kusini....sijui weye ni mmojawao?
mwenyewe nilitaka kumuuliza,,,mbeya ndo jina lake,,lakini linamaana ya maji maji ya ukeni, sio huo ugali na maziwa hapo juu...utokooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…