LGE2024 Kauli Bi. Happiness Seneda ya kusema watakagua wasiopiga kura inaweza kuichonganisha Serikali na watumishi wa Umma. Rais tafadhali muondoe

LGE2024 Kauli Bi. Happiness Seneda ya kusema watakagua wasiopiga kura inaweza kuichonganisha Serikali na watumishi wa Umma. Rais tafadhali muondoe

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
 
Zoezi la kupiga kura kwenye uchaguzi wowote ule, ni la hiyari! Na siyo la lazima. Ingekuwa ni zoezi la Sensa ya watu na makazi, ningekubaliana naye.

Hivyo hiyo kauli yake ipuuzeni, maana hana uwezo wa kumfanya chochote mtumishi wa umma ambaye hakushiriki kwenye hilo zoezi.
 
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
Kwani lazima kupiga?
 
Kauli ya kawaida kabisa, kama unavigezo vya kupiga kura kwanini usiende kupiga
Kwa I kura upigaji wake huwa upoje labda
Je ni lazima kupiga kura? Mgombea anakuja anamshawishi mwananchi akishawisgika na hoja zake ndipo atapiga kura vinginevyo itabaki kusemwasemwa tu
 
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
Uchawa umepitiliza.
 
Magufuli kaondoka lakini alichokitengeneza kitatuletea shida kwa muda mrefu sana,amevuruga utaratibu wa kuteua watumishi wa umma kwa kuwaingiza wanasiasa angalia sasa hivi nafasi za Ma DED,RAS,DAS,hadi Watendaji wa Kata sasa zimegeuka kuwa nafasi za Kisiasa wakati hawa wote ni watendaji katika utumishi wa umma na hawatakiwi kabisa kujiegemeza waziwazi kwa chama fulani hadi watakapoachia nafasi hizo.
Tatizo hili lipo hadi kwa makatibu wakuu wa wizara na wakuu wa taasisi mbalimbali za umma wakiwamo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.
Rais mwenyewe ameshatambua kuwa hana RAS hapo subiri uone
 
A
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
Aondolewe haraka ! Vinginevyo ametumwa !
 
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
Safi sana kiongozi kwa mfano. We ni mkali, mwerevu, msomi, na una maono ya mbali kitaifa na ki mataifa. Hao watumishi ungewapiga hata viboko au wafukuze kazi.
 
Mshamba tu huyo mama
Kwanza yeye ni nani na ana
Cheo gani???
Siyo analopokalopoka tu

Ova
 
Magufuli kaondoka lakini alichokitengeneza kitatuletea shida kwa muda mrefu sana,amevuruga utaratibu wa kuteua watumishi wa umma kwa kuwaingiza wanasiasa angalia sasa hivi nafasi za Ma DED,RAS,DAS,hadi Watendaji wa Kata sasa zimegeuka kuwa nafasi za Kisiasa wakati hawa wote ni watendaji katika utumishi wa umma na hawatakiwi kabisa kujiegemeza waziwazi kwa chama fulani hadi watakapoachia nafasi hizo.
Tatizo hili lipo hadi kwa makatibu wakuu wa wizara na wakuu wa taasisi mbalimbali za umma wakiwamo wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Huyubdada ni nsugu na Magu alimchomeka tanroad .....alipokuwa Pres akampa das kisarawe baadae RAS iringa sasa songwe amebebwa sanaa tunamjuaa ni kilaza sanaa empty set
 
Sasa kama ni mtoto wa jiwe aliyeamini kila tatizo linahitaji nyundo yeye aweje? Mtoto wa nyoka si nyoka tu wandugu? Au hii ilishafutwa kwenye misemo ya kiswahili?
 
Uchaguzi wa Serikali za mitaa ukiwa umemalizika kwa amani na utulivu na tukiwa tunaendelea kusubiri matokeo kwa maeneo ambayo matokeo bado hayajatangazwa, tutumie muda huu kuijadili kauli ya katibu tawala wa mkoa wa Songwe aliyotoa siku ya jana, ya kwamba '....watawakagua wino watumishi ambao hawakupiga kura...'.

Hii ndio tathmini yangu juu ya kauli hiyo:

Ni kauli ambayo ndani yake imejaa vitisho na ubabe. Kupiga kura mtu halazimishwi ila anashawishiwa na sio kazi ya katibu tawala kuwahamasisha watu kupiga kura ila ni ya viongozi wa kisiasa kama wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wengineo. kitendo cha katibu tawala kutumia kauli ya kibabe na isiyo ya kushawishi bali ya kulazimisha inaweza kutafsiriwa vibaya kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli yake kivitendo.

Ni kauli ambayo inawalazimisha watumishi wa umma kushiriki siasa kitendo ambacho ni kinyume na maadili yao ya kazi. Hebu tufikirie mtumishi wa umma huyu alijiandikisha kituo A na kutokana na sababu mbalimbali katika mtaa aliyojiandikisha huyu mtumishi wagombea wa chama A pekee ndio waliofanikiwa kupita. maana yake ni kwamba mtumishi huyu akienda kupiga kura atajulikana ni wa chama fulani. Je katika namna yoyote haiwezi kumuathiri kazini kama wakuu wake wajijua ? Swala la pili kwenye hoja hii, kwa yule mtumishi ambaye hapendi mambo ya vyama, vipi kauli hii haitamfanya aichukie Serikali hii kwa muingiza kwenye siasa na uvyama.

Ni kauli ambayo haijaangalia masuala mengine kwa ukubwa. kutokana na majukumu mbalimbali za kiutumishi alishindwa kujiandikisha hivyo kwa sababu yoyote angeshindwa kupiga kura. Je swala hili liliangaliwa kwa umakini kabla ya kutoa kauli hii.

Ni kauli ambayo kwa namna au nyingine imeitafsiri vibaya kauli aliyotoa Rais juu ya kuweka mapumziko 27/11/2024 ili watu wakapige kura. Kauli ya Rais ilisimama katika suala la kiimani zaidi, kwamba kwa kura siku ya kupiga kura ilikuwa jumapili basi wakristo walikuwa hawapati haki ya kupiga kura, kama ikiwekwa jumamosi basi wasabato wasingepiga kura na kama ingekuwa ni ijumaa basi waislamu wasingepiga muafaka ukawa ni siku ya jumatano lakini kwa kuwa jumatano ni siku ya kazi basi akaifanya iwe mapumziko na sio kwamba imewalazimisha watumishi waende kupiga kura. hata jumapili nayo ni mapumziko.

katika kuipima kauli ya katibu tawala mkoa wa Songwe, naweza kusema inaweza kuichonganisha serikali, Rais Samia na watumishi wa umma kama kutakuwa na utekelezaji wa kauli hiyo kivitendo na hata kama kusipokuwa na utekelezaji basi kwa namna moja au nyingine watumishi ambao hwakupiga kura watakuwa wameumizwa.

Mhe.Rais tunaomba umuondoe Katibu Tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ili kudhibiti kauli za namna hii kwa viongozi wengine ambazo zinaweza kuichonganisha serikali na watumishi.
Mimi nilijiandikisha kwenye vikaratasi vyao, ila jana sikushiriki kwenye zoezi lao la kipumbavu, na hakuna mbwa wa kunifanya lolote mahali popote.
 
Back
Top Bottom