Daaaa umemaloza zote😃😃😃KAULI GANI YA MWALIMU ILIKUA INAKUKERA SANA ME NAMBA 1
1. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale
2. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe
3. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
4. Mkimaliza kuongea niambie niendelee kufundisha
5. Baba ako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo apa
6. Wengine apa wekuja kusindikiza wenzao tu
7. Bichwa kubwa ubongo nukta
Ongeza na zingine....
Najua wengine hapa hata nikikesha nikifundisha hawawezi wakaelewa chochote😂😂😂😂Daaaa umemaloza zote😃😃😃
hahha nilikata jibu mara tatu...daahMake sure you read a question carefully..afu lipo nyuma yangu
Kauli ya kupigana na Iddy AminKAULI GANI YA MWALIMU ILIKUA INAKUKERA SANA ME NAMBA 1
1. Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale
2. Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe
3. Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
4. Mkimaliza kuongea niambie niendelee kufundisha
5. Baba ako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo apa
6. Wengine apa wekuja kusindikiza wenzao tu
7. Bichwa kubwa ubongo nukta
Ongeza na zingine....
Noma sanaLeo unalala darasani uzeeni utalala Getini kwa watu/kampuni.
Apo umetoka kupiga uji wa moto kila ukitungua macho wap
Leo unalala darasani uzeeni utalala Getini kwa watu/kampuni.
Apo umetoka kupiga uji wa moto kila ukitungua macho wap