Kauli hii inamhusu yupi kati ya mke na HG?

Kauli hii inamhusu yupi kati ya mke na HG?

Eiyer

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2011
Posts
28,259
Reaction score
20,891
Nimejiuliza swali hili baada ya kuchoka kusikia vimbwanga vya ma-HG,kauli yenyewe ni kuwa;UKIMUELIMISHA MWANAMKE UMEELIMISHA JAMII NZIMA,kwanza ni elimu ipi?Pili,sasa ni yupi kati ya hao wawili?HG au MKE?Au ni elimu ya malezi?Kama ni hiyo inamfaa HG Kwa sababu HG ndiye anaelea familia kwa ulimwengu wa sasa!Au ni wanawake wote?Lakini kama ni wote taifa litapata hasara kwa wanawake wengi kwani wataelimishwa halafu hawataitumia vyema elimu yao!
 
Halafu pia unapozingatia umuhimu wa HG nyumbani,ni vyema hawa wasichukuliwe kama wasiokua na umuhimu katika malezi ya watoto na afya zenu "mabosi wake"!
 
Mkuu, huwa wanamaanisha kusomesha Jinsi ya kike kama inavyofanyika kwa Jinsi ya kiume. Wewe naona umelichulia kwa mwanamke ambaye tayari ni mke wa mtu.
 
Kiustaarabu haumuiti "House Girl",...its an insult.
Kibongo bongo unaita "Dada",...ina mpa respect na anafeel as a part of the family.

Back to the topic:No comment
 
Swali lako halieleweki kwa sababu:

Unamaanisha nini kumsomesha "MKE"????
Unamaanisha nini kumsomesha "Maid" aka "Dada"???

Naona kama huelewi wanapomaanisha kumsomesha Mwanamke.

Napenda nikwambie hawamaanishi kumsomesha "Mke" huyo tayari
anakuwa amesomeshwa na wazazi wake wanachomaanisha
kumsomesha mwanamke ni wale "Mabinti" "Wasichana" ambao bado
hawajaolewa sasa wewe mwenzetu umekuja na ya kumsomesha "Mke"??

Siku njema
 
Swali lako halieleweki kwa sababu:

Unamaanisha nini kumsomesha "MKE"????
Unamaanisha nini kumsomesha "Maid" aka "Dada"???

Naona kama huelewi wanapomaanisha kumsomesha Mwanamke.

Napenda nikwambie hawamaanishi kumsomesha "Mke" huyo tayari
anakuwa amesomeshwa na wazazi wake wanachomaanisha
kumsomesha mwanamke ni wale "Mabinti" "Wasichana" ambao bado
hawajaolewa sasa wewe mwenzetu umekuja na ya kumsomesha "Mke"??

Siku njema

Ahsante DA,
Ukizingatia kuwa mke hasomeshwi,
anafundwa na wazazi wake jinsi ya kuishi na mume.
 
Dena,kuna elimu nyingi sana,sijazungumzia elimu uliyosoma wewe ya kujua kuandika na kwenda na sijui ufagio,elimu ninayoizungumzia hapa ni elimu ya malezi ya kuwandaa marais,mawazir,baba,mama na walezi wa kesho,so unaweza ukawa "MKE" na ukawa huna elimu hii!
 
Ahsante DA,
Ukizingatia kuwa mke hasomeshwi,
anafundwa na wazazi wake jinsi ya kuishi na mume.

Wewe unazungumzia namna ya kuishi na mume mi nimezungumzia namna ya kuwalea wote.Nafikiri unajua maana ya FAMILIA!
 
Ahsante DA,
Ukizingatia kuwa mke hasomeshwi,
anafundwa na wazazi wake jinsi ya kuishi na mume.

Mie ndo nimeshangaa kumsomesha "Mke"??
Labda alimaanisha hiyo ya kufundiswa kuishi na mume
kama ulivyosema
 
Dena,kuna elimu nyingi sana,sijazungumzia elimu uliyosoma wewe ya kujua kuandika na kwenda na sijui ufagio,elimu ninayoizungumzia hapa ni elimu ya malezi ya kuwandaa marais,mawazir,baba,mama na walezi wa kesho,so unaweza ukawa "MKE" na ukawa huna elimu hii!

Swali lako halieleweki kwa sababu:

Unamaanisha nini kumsomesha "MKE"????
Unamaanisha nini kumsomesha "Maid" aka "Dada"???

Naona kama huelewi wanapomaanisha kumsomesha Mwanamke.

Napenda nikwambie hawamaanishi kumsomesha "Mke" huyo tayari
anakuwa amesomeshwa na wazazi wake wanachomaanisha
kumsomesha mwanamke ni wale "Mabinti" "Wasichana" ambao bado
hawajaolewa sasa wewe mwenzetu umekuja na ya kumsomesha "Mke"??

Siku njema

Hebu soma hiyo red utanielewa
 
Swali lako halieleweki kwa sababu:

Unamaanisha nini kumsomesha "MKE"????
Unamaanisha nini kumsomesha "Maid" aka "Dada"???

Naona kama huelewi wanapomaanisha kumsomesha Mwanamke.

Napenda nikwambie hawamaanishi kumsomesha "Mke" huyo tayari
anakuwa amesomeshwa na wazazi wake wanachomaanisha
kumsomesha mwanamke ni wale "Mabinti" "Wasichana" ambao bado
hawajaolewa sasa wewe mwenzetu umekuja na ya kumsomesha "Mke"??

Siku njema


asante sihitaji kuongeza neno, siku njema
 
Tunapoelekea huko kutakuwa hakuna kuishi na ma hg tena maana shule za kumwaga zimeanzishwa
kwa hiyo kila mwanamke atahitaji kulea family yake mwenyewe... kama wenzetu huko wanavofanya
elimu ni kw wanawake wote, coz hata Ma HG badae watakuwa na familia zao
 
Nimejiuliza swali hili baada ya kuchoka kusikia vimbwanga vya ma-HG,kauli yenyewe ni kuwa;UKIMUELIMISHA MWANAMKE UMEELIMISHA JAMII NZIMA,kwanza ni elimu ipi?Pili,sasa ni yupi kati ya hao wawili?HG au MKE?Au ni elimu ya malezi?Kama ni hiyo inamfaa HG Kwa sababu HG ndiye anaelea familia kwa ulimwengu wa sasa!Au ni wanawake wote?Lakini kama ni wote taifa litapata hasara kwa wanawake wengi kwani wataelimishwa halafu hawataitumia vyema elimu yao!

that's more than confussion. Hata hivyo wenyewe watakujibu sasa hivi maana ni kama umepiga ikulu mawe!
 
Swali lako halieleweki kwa sababu:

Unamaanisha nini kumsomesha "MKE"????
Unamaanisha nini kumsomesha "Maid" aka "Dada"???

Naona kama huelewi wanapomaanisha kumsomesha Mwanamke.

Napenda nikwambie hawamaanishi kumsomesha "Mke" huyo tayari
anakuwa amesomeshwa na wazazi wake wanachomaanisha
kumsomesha mwanamke ni wale "Mabinti" "Wasichana" ambao bado
hawajaolewa sasa wewe mwenzetu umekuja na ya kumsomesha "Mke"??

Siku njema

DA kwa afupi anatakiwa amsomeshe mwanae wa kike
 
Tunapoelekea huko kutakuwa hakuna kuishi na ma hg tena maana shule za kumwaga zimeanzishwa
kwa hiyo kila mwanamke atahitaji kulea family yake mwenyewe... kama wenzetu huko wanavofanya
elimu ni kw wanawake wote, coz hata Ma HG badae watakuwa na familia zao

Hii italeta maana zaidi,ma-HG waondolewe kwenye scene halafu tuone!
 
Wewe unazungumzia namna ya kuishi na mume mi nimezungumzia namna ya kuwalea wote.Nafikiri unajua maana ya FAMILIA!

Kaka Eiyer,
Bila kuishi na mume utalea familia????, Ukijua namna ya kuishi na mume ndio familia yenyewe.
Unaposema "Kama ni hiyo inamfaa HG Kwa sababu HG ndiye anaelea familia"
"Lakini kama ni wote taifa litapata hasara kwa wanawake wengi kwani wataelimishwa halafu hawataitumia vyema elimu yao! .
Hapo mwanamke unakuwa hukumpa jukumu lolote, huyo Dada yeye anamlea mume?????

 
Hebu soma hiyo red utanielewa

Napata tabu kukuelewa coz,unawaza mbili kabla ya moja,faham sio kila mwanamke ni mke,nimezungumzia mwanamke,pili nimezungumzia HG ambae nae ni mwanamke lakini ni mke mtarajiwa kama akitaka,sasa unaposema sieleweki nami nashindwa kukuelewa,mke na HG majukumu yao ni tofauti,and so elimu pia,DA vipi?
 
Kaka Eiyer,
Bila kuishi na mume utalea familia????, Ukijua namna ya kuishi na mume ndio familia yenyewe.
Unaposema "Kama ni hiyo inamfaa HG Kwa sababu HG ndiye anaelea familia"
"Lakini kama ni wote taifa litapata hasara kwa wanawake wengi kwani wataelimishwa halafu hawataitumia vyema elimu yao! .
Hapo mwanamke unakuwa hukumpa jukumu lolote, huyo Dada yeye anamlea mume?????

Huyu achana nae haelewi swali lake mwenyewe mara ndoa mara familia sasa "Mke" si tayari
amekuwa kwenye familia unamwelimisha nini sasa hapo?

Nalog off Source: Washawasha
 
Back
Top Bottom