Huyu naona kama walimtengenezea skedo ambazo si za kweli cheki kwanza hii eti watoto wake kusoma ufaransa na kurudi congo hivi kwa akili yako tu ya araka araka hiyo inaingia akilini mwakoMwamba alipenda sana mbususu kuna moja ililazimika kuhama nchi kumkwepa kisa alikuwa anaforce apewe mbususu
#nakei Nairobi
Walirudi Congo Ijumaa baada ya masomo na Concorde iliwapeleka J2.Huyu naona kama walimtengenezea skedo ambazo si za kweli cheki kwanza hii eti watoto wake kusoma ufaransa na kurudi congo hivi kwa akili yako tu ya araka araka hiyo inaingia akilini mwako
Kutoka kongo mpaka ufaransa ni ma saa 12 yaani kwenda na kurudi na m ma saa 24 siku mzima apo vipi mda wao wa kuingia darasani mda wao wa kupumuzika yaani mambo ya ajabu
Huyu mobutu hakukuwa dikteta kama tunavyo aminishwa mwamba alikuwa mtu poa tu na alifanya zaire kuwa tishio barani afrikaDRC wana Mobutu
Uganda Iddi Amin
Rwanda Pk
Tanganyika Jiwe
Kwahyo Africa hamna madikteta?Huyu mobutu hakukuwa dikteta kama tunavyo aminishwa mwamba alikuwa mtu poa tu na alifanya zaire kuwa tishio barani afrika
Akuna madikteta kabisa kwani wazungu kuna madikteta wakwenu ndo wanaitwa madikteta wa kwao ndo wanaitwa wafalme huu ni upumbavuKwahyo Africa hamna madikteta?
Alijua anachokipanda ndo maana alisema hivyo. Haikumaanishs alikuwa mtu sahihi, yeye kushiriki mauaji ya Patrice Lumumba alijua kabisa ameiharibu DRC, na haitakaa sawa tena kwa sababu ya uharibifu aliyouleta DRC.Je, ni kweli Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alikuwa mtu mbaya kama tulivyoaminishwa ?
Tuone kauli ya Mobutu ambayo aliongea
"APRES MOI C'EST LE DÉLUGE ". Après MOBUTU c'est de la mort, de la souffrance, de la misère, du désordre
Kwa kiswahili : BAADA YANGU NI MAFURIKO". Baada ya MOBUTU ni kifo, mateso, taabu, machafuko.
Je, Wakati wa Mobutu wakongo walikuwa wakimbizi?
Je, Congo kulikuwa na Vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Naomba kujua
View attachment 2180428View attachment 2180510
hakuna nchi inaitwa TanganyikaDRC wana Mobutu
Uganda Iddi Amin
Rwanda Pk
Tanganyika Jiwe
Concord hazikua zikitua kila kiwanjaWalirudi Congo Ijumaa baada ya masomo na Concorde iliwapeleka J2.
Mobutu Seseko by Franco Lwambo MakiadiYabiso Candidat!
soon mtayaona hapa TzMada yako nikiitazama kwa sura nyingine iyo kauli ya Mobutu kama namuona mwamba wa Chatlle.
Msiwe watu wa kutunga , zimepita tawala ngap ? Yeye aliona alipoipokea nchi tyr ilikuwa kweny mgogoro yeye ndo akaituliza na aliona kabisa maadui ni weng , DRC bila Dictator haitatawalika kbsAlijua anachokipanda ndo maana alisema hivyo. Haikumaanishs alikuwa mtu sahihi, yeye kushiriki mauaji ya Patrice Lumumba alijua kabisa ameiharibu DRC, na haitakaa sawa tena kwa sababu ya uharibifu aliyouleta DRC.
2222Mwamba alipenda sana mbususu kuna moja ililazimika kuhama nchi kumkwepa kisa alikuwa anaforce apewe mbususu
#nakei Nairobi