Kauli mbiu juu ya kujikinga na magonjwa ya zinaa

Kauli mbiu juu ya kujikinga na magonjwa ya zinaa

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Magonjwa ya zinaa yana athari mbaya katika mwili wa binadamu. Hivyo ni wajibu wetu sisi kujikinga kwa njia tofauti kama wataalamu wetu wa afya wanavyotuelekeza.

Kinga hazipaswi kuadimika, namna ya kupambana na magonjwa ya zinaa ni kinga kutumika kwa usahihi ili mwili ulioathirika uwekewe mipaka hii inasaidia hata katika kipindi cha matibabu badala ya kutibiwa wagonjwa 1000, basi kiwango kishuke watibiwe angalao wagonjwa 300.

Swala la ngono lichukuliwe kama sumu ambayo haruhusiwi mtu kugusa kabla hajavaa gloves ama vifaa vya kulinda ngozi

Kauli mbiu "Ngono ni hatari kwa afya tumia kinga kwa usahihi"

Afya-designstyle-love-heart-m.png
 
Umezungumza kwa hisia, ili kuendelea kufurahia basi hatunabudi kutumia kinga na kufuata maelekezo yanayotolewa na wizara ya afya
Kutumia kinga ni jambo moja ila unayefanya nae kuridhia ni jambo jengine. Wengi hawapendi kinga wanadai zinawaumiza😂 yani kula K na kinga wakati mwengine demu anaona bora usimle tu!
 
Kutumia kinga ni jambo moja ila unayefanya nae kuridhia ni jambo jengine. Wengi hawapendi kinga wanadai zinawaumiza😂 yani kula K na kinga wakati mwengine demu anaona bora usimle tu!
Inawezakuwa sababu ya kutokutumia kinga basi wapenzi wapime afya zao na swala la kupima afya lina maana kubwa katika familia kwani uzao unahitajika, hivyo basi kupima afya kunalinda wapenzi na familia kwa ujumla
 
Hapo umenena mkuu ila vipi unayetaka kupima nae afya akiwa anagoma goma kupima?
Inapotokea hali kama hiyo ni swala la kumpa elimu juu ya faida za kupima vilevile kumwondolea hofu, wakati mwingine anayekataa kupima, tatizo linasababishwa na hofu na mawazo hasi juu ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa
 
Back
Top Bottom