NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Iyo"Daima"ipo mbele.yani yanga wakitaka ubingwa wa ligi mpaka hapo watakapo badilisha hilo lislogan lao "daima mbele nyuma mwiko"
mpaka wautoe huo mwiko huko nyuma kwao ndo watapata ubingwa VPL
duh,watu mnajiamini,haya ngoja tuone hiyo baadae,Wana Simba mtambue hao sio ihefuDroo na Al ahly NITAHESABU NIMEFUNGWA. Simba hii sio ilee.mpira utapigwa mwingiii. Tangu Tanzania ianze haujawahi kupigwa
Kanywe sumu ufe sasaKwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.
Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.
Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.
Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Na ndio tumeshawapigaduh,watu mnajiamini,haya ngoja tuone hiyo baadae,Wana Simba mtambue hao sio ihefu
Kweli bwana utopolo, utabiri wako ulikuwa sahihi kabisa, bila shaka matokeo unayo na wala si matokeo ya sare kama ulivyotabiri!Kwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.
Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.
Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.
Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?
Yaani wewe haya sasa 1-0 unalipi la kusemaKwa utafiti wangu wa kina nilioufanya inaonekana mashabiki wengi hawakupenda kauli mbiu yao mpya kuelekea mechi yao dhidi ya Al Ahly.
Wengi wao wameonekana kuwa na hofu kubwa sana ya matokeo dhidi ya wageni hao kiasi kwamba kauli mbiu ikashindwa kuinua hamasa ya ushindi. Wapo wengi wanao amini kuwa kauli mbiu isiyo na uhalisia umepelekea upweke wa hamasa miongoni mwa mashabiki wa timu hiyo.
Pia, walio wengi wanaamini kauli mbiu hiyo huenda ikawasaidia kupata sare dhidi ya wababe hao wa bara la Afrika, lakini uhalisia ni kuwa ni vigumu mno kupata sare dhidi yao ukizingatia walipumzisha wachezaji wengi dhidi ya mechi yao na Al Mereikh.
Je, ni kwa kiasi gani unadhani hizi kauli mbiu za simba zina uhalisia na uwezo wao wa kuzalisha matokeo dhidi ya vigogo vilivyopo kwenye kundi lake?