Elections 2010 Kauli mbiu za uchaguzi mwaka huu

Elections 2010 Kauli mbiu za uchaguzi mwaka huu

  • Thread starter Thread starter GY
  • Start date Start date

GY

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,279
Reaction score
126
Nimekaa na kuanza kutafakari, ivi kauli mbiu za uchaguzi mwaka huu 2010 zitakuwaje

Nikapata japo hizi mbili za CCJ na CCM

CCJ (ikiwa watapata usajili): "Wamebana wameachia, mwanga mpya umewadia"

CCM: "kwa ari ileile, kasi ilele na nguvu ileile, Tanzania yasonga mbele"

and the list continues..........
 
Back
Top Bottom