Uchaguzi 2020 Kauli na matamko yanayotolewa na mgombea Urais CCM ni msimamo rasmi wa chama au yake mwenyewe?

Uchaguzi 2020 Kauli na matamko yanayotolewa na mgombea Urais CCM ni msimamo rasmi wa chama au yake mwenyewe?

mcfm40

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,452
Reaction score
3,151
Hebu tuwekane sawa tusije kurukana kimanga baadaye.

Nauliza tu. Kauli na matamko yanayotolewa na mgombea wa CCM, Mh rais John Pombe Joseph Magufuli ndio msimamo rasmi wa chama au ni kauli na maoni yake binafsi?

Nasema hivi ili baadaye tutakapowauliza/ mtakapobanwa msije mkasema zilikuwa kauli zake binafsi au msimamo wake binafsi.

Kuna kauli za kibaguzi zinarudiwa rudiwa sana na huyu mgombea kwamba watu wakichagua upinzani wasahau kupelekewa miradi ya naendeleo. Nimemsikia pia Mama Suluhu Hasan akiikariri pia hii kauli kwenye moja ya mikutano yake.

Je, hii ni sera mpya ya Ccm na ni msimamo mpya wa CCM? Tafadhali, hebu liwekeni hili sawa!
 
Hebu tuwekane sawa tusije kurukana kimanga baadaye.

Nauliza tu. Kauli na matamko yanayotolewa na mgombea wa CCM, Mh rais John Pombe Joseph Magufuli ndio msimamo rasmi wa chama au ni kauli na maoni yake binafsi?

Nasema hivi ili baadaye tutakapowauliza/ mtakapobanwa msije mkasema zilikuwa kauli zake binafsi au msimamo wake binafsi.

Kuna kauli za kibaguzi zinarudiwa rudiwa sana na huyu mgombea kwamba watu wakichagua upinzani wasahau kupelekewa miradi ya naendeleo. Nimemsikia pia Mama Suluhu Hasan akiikariri pia hii kauli kwenye moja ya mikutano yake.

Je, hii ni sera mpya ya Ccm na ni msimamo mpya wa CCM? Tafadhali, hebu liwekeni hili sawa!
Kitu kinachoshangaza tangu Uhuru ndio chama pekee kinachotawala sasa umasikini wananchi wameutoa wapi?tutaonana kwenye box
 
Ni mbinu ya kupata viongozi wengi watokanao na CCM nikama kutumia wasanii kuwavuta wananchi wengi zaidi hata watoto kuja kuwapa sera za chama na kutengeneza kizazi kijacho yani watoto kufahamu sera za chama tofauti na wa vyama vingine ambao watu wao wanakurupuka tu ndio maana wanashindwa kujenga hoja na kukitetea chama chao.

Kama unavyofahamu huwezi tenganisha siasa na maisha.
 
Hebu tuwekane sawa tusije kurukana kimanga baadaye.

Nauliza tu. Kauli na matamko yanayotolewa na mgombea wa CCM, Mh rais John Pombe Joseph Magufuli ndio msimamo rasmi wa chama au ni kauli na maoni yake binafsi?

Nasema hivi ili baadaye tutakapowauliza/ mtakapobanwa msije mkasema zilikuwa kauli zake binafsi au msimamo wake binafsi.

Kuna kauli za kibaguzi zinarudiwa rudiwa sana na huyu mgombea kwamba watu wakichagua upinzani wasahau kupelekewa miradi ya naendeleo. Nimemsikia pia Mama Suluhu Hasan akiikariri pia hii kauli kwenye moja ya mikutano yake.

Je, hii ni sera mpya ya Ccm na ni msimamo mpya wa CCM? Tafadhali, hebu liwekeni hili sawa!
Msimamo hi huu .
 
Huenda ana matatizo ya akili yanayoenda na kurudi yaani mwezi mchanga.
 
Back
Top Bottom