Kauli Tata ya Zuchu...

Ashukuru kaachwa akiwa single kabisa yani singo singo....wenzie waanachwaga double
 
Mi naona itabidi apigee miswaki mingi sanaa maana Sio kwa shomboo la domo lile la boyifrendi wake,
 
Hayatuhusu, apambane na hali yake
 

Huyu Ndiyo Alisema Diamond Alimpata Akiwa Masikini Haa Nchi Hii Kazi Sana

 

Huyu Ndiyo Alisema Diamond Alimpata Akiwa Masikini Haa Nchi Hii Kazi Sana

 
Kuna ajabu gani kwani kwa ujumbe wake huo?
 
Ole wak amuachee hee ndio atajua rang zetu wanznz
Kam hapajui kojani aulizee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…