Pre GE2025 Kauli ya January Makamba ''hata kama hatumkubali Samia ni wetu'', ina maana gani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi

Pre GE2025 Kauli ya January Makamba ''hata kama hatumkubali Samia ni wetu'', ina maana gani kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459

KAULI ya Waziri wa Mambo ya Nje, Mheshimiwa January Makamba aliyoitoa jana Ikulu ya Magogoni kwamba hata kama hatumkubali Samia ni wetu tu ina maana gani hasa kipindi hiki cha kuelekea 2025.

Nimejiuliza maswali mengi nikakosa majibu kwamba Makamba anasema hata kama hatumkubali Rais Samia ni wetu swali kwa Makamba kama yeye hamkubali Samia hao wengine ni kina nani? maana sijawahi kusikia Waziri, Mkuu wa Mkoa wala DC akisema hata kama hatumkubali Samia.

Pia soma Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
 

KAULI ya Waziri wa Mambo ya Nje, Mheshimiwa January Makamba aliyoitoa jana Ikulu ya Magogoni kwamba hata kama hatumkubali Samia ni wetu tu ina maana gani hasa kipindi hiki cha kuelekea 2025.

Nimejiuliza maswali mengi nikakosa majibu kwamba Makamba anasema hata kama hatumkubali Rais Samia ni wetu swali kwa Makamba kama yeye hamkubali Samia hao wengine ni kina nani? maana sijawahi kusikia Waziri, Mkuu wa Mkoa wala DC akisema hata kama hatumkubali Samia.

Pia soma Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Hali ni mbaya kwa huyu mama.
 
Mama hakubaliki hata kidogo. Siku akiitisha mkutano anaweza asipate hata watu 30.
 

KAULI ya Waziri wa Mambo ya Nje, Mheshimiwa January Makamba aliyoitoa jana Ikulu ya Magogoni kwamba hata kama hatumkubali Samia ni wetu tu ina maana gani hasa kipindi hiki cha kuelekea 2025.

Nimejiuliza maswali mengi nikakosa majibu kwamba Makamba anasema hata kama hatumkubali Rais Samia ni wetu swali kwa Makamba kama yeye hamkubali Samia hao wengine ni kina nani? maana sijawahi kusikia Waziri, Mkuu wa Mkoa wala DC akisema hata kama hatumkubali Samia.

Pia soma Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Hakuna waziri mpuuzi kama huyu na wenzake kina Mwigulu na Nnape.....Kwa kweli tunaongozwa na viongozi wasiojitambua, Mzee Kenyatta was right.
 
Maneno huumba, January Makamba amepata funzo kuhusu jinsi ya kuongea juu ya boss wako, bila kujali unaongea ukiwa ndani au nje ya nchi maana dunia hii ni kijiji sasa.
 
Back
Top Bottom