Wewe utakuwa unatokea Arusha Wewe sio hivi hivi!nukta.Joh anafanya commercial...fid anafanya ugumu. Mziki ni $ saiv na syo ngumu ....
Kama Haimake ela basi haimake sense.Mkuu mbona unanilisha Maneno? Mimi sio Shabiki wa Hip hop ila ni Shabiki wa Mziki Mzuri, album nilizokuwa nanunua ni za Juma nature wa Ugali, Prof Jay na Jay Mo wa Mvua na Jua.., sio huyu Jay Mo wenu alieswitch!!!
Tushamzika kitamboMazishi lini mkuu.
Ww utakuwa mshamba tu, ndo maana una jipromot kuwa u mjanja. Joh yupo vzr na kila cku anaskika, sema huo ujanja wa kijijini haukuwa na ulazma sana kwenye kucoment.Huyu jamaa namkubali sanaa..... anamistar flan ivii amizing,,,, madaraka, Amusha dude, kama sio mjanja kama mimi huwez kumwelewa,,,, ila jamaa anatisha sanaa big up joh
Joh anajua sanaaaa.John alikuwa anabebwa na beef kati yake na ngosha fid lakin toka fid amkatae jamaa kapotea kinoma
Alitoa ngoma na davido kama hakijatokea kitu (in edu boy voice)
London boy
John nishaacha kumsikiliza,hana idea kwa sasa labda tukirud nyuma kwa nyimbo kama don't bother and the rest old schools of him
Tz inajulikana ya wamasai ndio maana hatueleweki tupoje!!..wasukuma mchelewa kuja mjini ...ndo maana Tz nzima mnaonekana kama watu wa ajabu.
Edu bora hana akili ya kuijua jf. I knw this primitive boyWewe utakuwa ndo edu boy mwenyewe
nyimbo za hip hop kama huelewi kinachoimbwa ni ngumu sana kuupenda labda upende video na beat, ni nyimbo chache sana ambazo huelewi lugha na ukaipenda maana utakuta punch lines metaphor hakuna unachoelewa.Nilishangaa ule wimbo ft Aka hakuwekea nguvu mara perfect combo chali akatoa wimbo ft Davido niliuckia mara moja tu.
Hawa wasanii wa hip hop wabongo wangekuwa serious wangekuwa ndo wanakimbiza game la hip hop Africa sijui wapoje maana ukickia hip hop ya Nigeria ni vichekesho tupo ukiilinganisha na ya Tz