Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" Ilianzishwa na Wapinzani

Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" Ilianzishwa na Wapinzani

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Nilitaka kuwakumbusha tuu kuwa Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" ilianzishwa na Wapinzani wala sio CCM yenyewe.
Tena mwanzoni Kauli hii haikuwa nzuri Kwa wana-ccm waliowengi hasa Wale ambao bado walikuwa hawaamini kuwa JPM ameshapumzika.

Kauli ya Mama anaupiga mwingi Kwa wanasiasa wa upinzani ililenga kuwafariji wapinzani baada ya mchakamchaka na mikikimikiki waliyoipata awamu ya tano.

Mchezo ulibadilika baada ya Mzee Mbowe kuwekwa ndani. Na hapo ikawa kuimba kupokezana.

Niwatakie maandalizi Mema ya SABATO.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Ni mbowe au zitto? Weka wazi, au lisu ndiye alianzisha?

NB:
Anzisheni na mengine, mkizingatia kuanzisha na vitega uchumi vya kusupport vyama kujitegemea mf.
Gazeti
Radio
Tv
Hivi kwanza vita wasaidia ktk kqmpeni mbalimbali na kupunguza malalamishi ya CCM dhidi ya wamiliki wa vyombo vya habari

Msimuachie mbowe pekee kumiliki radio pale machame na magazeti...

Jitahidini kuwekeza kwenye mali za kusaidia utendaji wa chama na sio kwenye matumbo

Mna tembea sana ughaibuni, hizo pesa zisihishie kununua magari ya M4C bali ziende mbali sana, msishikwe na tamaa ya kula pesa kama mabilioni ya nywele nyeupe

Pambaneni na vyamq vyenu kuelekea uchaguzi mkuu, kubolonga kwa ccm kuwe mtaji kwenu/wenu
 
Kwema Wakuu!

Nilitaka kuwakumbusha tuu kuwa Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" ilianzishwa na Wapinzani wala sio CCM yenyewe.
Tena mwanzoni Kauli hii haikuwa nzuri Kwa wana-ccm waliowengi hasa Wale ambao bado walikuwa hawaamini kuwa JPM ameshapumzika.

Kauli ya Mama anaupiga mwingi Kwa wanasiasa wa upinzani ililenga kuwafariji wapinzani baada ya mchakamchaka na mikikimikiki waliyoipata awamu ya tano.

Mchezo ulibadilika baada ya Mzee Mbowe kuwekwa ndani. Na hapo ikawa kuimba kupokezana.

Niwatakie maandalizi Mema ya SABATO.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ni kweli nakumbuka Mmawia ndio aliasisi hii Nahau kama sijakosea
 
Haya yote ni matunda ya mfumo mbovu alioujenga Nyerere
 
Ni mbowe au zitto? Weka wazi, au lisu ndiye alianzisha?

NB:
Anzisheni na mengine, mkizingatia kuanzisha na vitega uchumi vya kusupport vyama kujitegemea mf.
Gazeti
Radio
Tv
Hivi kwanza vita wasaidia ktk kqmpeni mbalimbali na kupunguza malalamishi ya CCM dhidi ya wamiliki wa vyombo vya habari

Msimuachie mbowe pekee kumiliki radio pale machame na magazeti...

Jitahidini kuwekeza kwenye mali za kusaidia utendaji wa chama na sio kwenye matumbo

Mna tembea sana ughaibuni, hizo pesa zisihishie kununua magari ya M4C bali ziende mbali sana, msishikwe na tamaa ya kula pesa kama mabilioni ya nywele nyeupe

Pambaneni na vyamq vyenu kuelekea uchaguzi mkuu, kubolonga kwa ccm kuwe mtaji kwenu/wenu

Acha makasiriko Mkuu
 
Hii kauli ilianzishwa na Godlisten Malisa na kina Lema wakifikiri wanamkomoa marehemu.

Kuna watu wapumbavu dunia hii
[emoji23][emoji23][emoji23]


Yes Malisa ndo muasisi wa hii kauli
 
Kwema Wakuu!

Nilitaka kuwakumbusha tuu kuwa Kauli ya "Mama anaupiga mwingi" ilianzishwa na Wapinzani wala sio CCM yenyewe.
Tena mwanzoni Kauli hii haikuwa nzuri Kwa wana-ccm waliowengi hasa Wale ambao bado walikuwa hawaamini kuwa JPM ameshapumzika.

Kauli ya Mama anaupiga mwingi Kwa wanasiasa wa upinzani ililenga kuwafariji wapinzani baada ya mchakamchaka na mikikimikiki waliyoipata awamu ya tano.

Mchezo ulibadilika baada ya Mzee Mbowe kuwekwa ndani. Na hapo ikawa kuimba kupokezana.

Niwatakie maandalizi Mema ya SABATO.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sasa chadema na act ni wapinzani gani wakati hata akili hawana
 
Back
Top Bottom