Kauli ya Manara kwamba wanaoshiriki Kombe la Shirikisho CAF ni "Losers" itaendelea au ataifuta kesho?

Kauli ya Manara kwamba wanaoshiriki Kombe la Shirikisho CAF ni "Losers" itaendelea au ataifuta kesho?

masare

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
1,791
Reaction score
1,830
Msimu uliopita Simba ilipotolewa kwenye CAF Champions League na hatimaye kuishia robo fainali Kombe la CAF Shirikisho aliyekua msemaji wa Yanga Haji Manara aliwaponda Simba kuwa wanacheza kombe la "Losers" na kwamba mabingwa wote wapo CAF Champions League.

Ikumbukwe wakati anatoa kauli hiyo Yanga ilikwishatolewa zamani tena kwenye hatua ya awali (preliminary stage) na Rivers ya Nigeria.

Swali ni je, Haji Manara atatengua kauli hiyo au ataendelea na msimamo wake wa kuyaita mashindano ya CAF Confederation kama kombe la "Losers"?

Ieleweke kuwa Yanga akishatolewa Sudan itabidi acheze tena mechi ya "Play off" ili kuweza kuingia makundi ya kombe la Shirikisho CAF

Mark my words.
 
Kauli ambayo manara aliitoa akiwa na akili ni moja tu. "PALE YANGA WENYE AKILI NI WAWILI TUU...." Hiyo ndio kauli pekee ambayo tumekubaliana tuende nayo zingine zote achana nazo anaongeaga akiwa amelewa mibange, shisha na mikonyagi yake.
 
Msimu uliopita Simba ilipotolewa kwenye CAF Champions League na hatimaye kuishia robo fainali Kombe la CAF Shirikisho aliyekua msemaji wa Yanga Haji Manara aliwaponda Simba kuwa wanacheza kombe la "Losers" na kwamba mabingwa wote wapo CAF Champions League.

Ikumbukwe wakati anatoa kauli hiyo Yanga ilikwishatolewa zamani tena kwenye hatua ya awali (preliminary stage) na Rivers ya Nigeria.

Swali ni je, Haji Manara atatengua kauli hiyo au ataendelea na msimamo wake wa kuyaita mashindano ya CAF Confederation kama kombe la "Losers"?

Ieleweke kuwa Yanga akishatolewa Sudan itabidi acheze tena mechi ya "Play off" ili kuweza kuingia makundi ya kombe la Shirikisho CAF

Mark my words.
YAMETIMIA
 
Swali ni je, Haji Manara atatengua kauli hiyo au ataendelea na msimamo wake wa kuyaita mashindano ya CAF Confederation kama kombe la "Losers"?
Ataendelea na msimamo huohuo kwani hapo pia wanaenda kutimuliwa. We subiri uone
 
Tutamkumbuka marehemu Ruge ogopa sana teknolojia. Yani si kwa kuumbuka huku yani ile mivideo akiwa simba akiwanyea yanga ipooo haitakaa ifutike hii nayo na kauli zake huko yanga zipooo haitaka zifutike.
 
Msimu uliopita Simba ilipotolewa kwenye CAF Champions League na hatimaye kuishia robo fainali Kombe la CAF Shirikisho aliyekua msemaji wa Yanga Haji Manara aliwaponda Simba kuwa wanacheza kombe la "Losers" na kwamba mabingwa wote wapo CAF Champions League.

Ikumbukwe wakati anatoa kauli hiyo Yanga ilikwishatolewa zamani tena kwenye hatua ya awali (preliminary stage) na Rivers ya Nigeria.

Swali ni je, Haji Manara atatengua kauli hiyo au ataendelea na msimamo wake wa kuyaita mashindano ya CAF Confederation kama kombe la "Losers"?

Ieleweke kuwa Yanga akishatolewa Sudan itabidi acheze tena mechi ya "Play off" ili kuweza kuingia makundi ya kombe la Shirikisho CAF

Mark my words.
Mtu akiwa Yanga bwana!! Manara sasa hivi uko yanga itabidi ukubaliane na maneno yako haya:

 
Back
Top Bottom