Kauli ya Mh. Aden Rage dhidi ya Mh. Msigwa si ya kiungwana!

What else do you call a fool? a fool is simply a fool.

Nothing wrong with that. Is he not a fool?
How can you call some one a fool without pointing out his/her foolishness? Surely, Aden Rage was unnecessarily arrogant and imbecile.
 
There is no any other polite way of describing this foolish MP Msigwa than calling him a FOOL.
Poor Ecoli, go back to stylistic lessons! otherwise tell us that you are obsessed with venomous hatred against Mp Msigwa!
 
Ukitaka kujua ni kwa nini Watanzania wanamsema vibaya Rage fuatilia yanayojili Somalia kuhusu Wasomali ambao Somali si asili yao kama wale wenye asili ya Wazigua.Ni wiki jana tu nilisikia wakilalamika BBC kwamba tangu Somali ijitawale jamii hiyo hawarusiwi hata kuchanganyika na Wasomali.
 
ha ha ha mnatetea mheshimiwa Msigwa au Mchungaji Msigwa?. Angebaki kanisani kuhubiri neno la bwana wala yasingemkuta ya kuitwa fool. Ameipenda zaidi dunia, he is a fool.
 
Watanzania mmekuwa wabaguzi sana. Tukianza kubaguana kwa namna hii itafika siku Wayao wataambiwa warudi Afrika Kusini, Wamakonde warudi Msumbiji, Wanyakyusa warudi Zambia, Wapemba warudi Oman, nk.
 
Napata shida hapa naomba msaada. Mchugaji Msingwa alisoma maoni yake binafsi au ni maoni ya kambi ya upinzani.
 
nimesoma gazeti moja pendwa sana katika jamii limeandika kuhusu baadhi ya waheshimiwa kuingia bungeni wakiwa wamelewa mihadarati ,gongo, sigara kubwa na mirungi( wasomali huipenda sana)
HEBU CHUNGUZENI PENGINE NI MMOJAWAPO WA WATUHUMIWA ,NA HII KAULI ALITOA AKIWA OUT OF SENSE
 
There is no any other polite way of describing this foolish MP Msigwa than calling him a FOOL.

naambiwa hapa kuwa mtu mwenye lugha za kuudhi kama wewe pengine anasumbuliwa na ugonjwa wa akili ambao kitaalam unaitwa “BIPOLAR DISORDER' Nashauri umuone daktari haraka.
 

na bibi kiroboto alikuwa anakenua tu, hata kumtaka huyo alshababu kuomba radhi
 

Na hapa ndipo ninapoamini ADC ni CCM C.I stand to be corrected
 
Naomba BUNGE LA TANZANIA liwe linaendeshwa kwa Kiingereza au KIHINDI.

Kudadadeki, tuliosoma India Tutafaidi.

Kujibizana na Rage ni sawa na kumfukuza Kichaa huku ukiwa uchi kwa sababu kaiba nguo zako.

Waliomchagua wote kuwa kiongozi wa FAT, Mbunge na Simba lazima watakuwa Wanapakatwa............. I mean walipakatwa wakiwa watoto.

Endeleeni kumwambia Rage labda kuna siku ATAWASIKIA.

 
Kwa lugha hizi za Rage basi bora nihame simba, nitakua shabiki wa Manyema

umesahau nini ?? Luga za jela hizo .alipelekeshwa gerezani kwa sana tuu .mmesahau alifungwa jela huyo kwa wizi .alitoka jela ki ccm.ccm huyo
 
Rage ameongea ukweli limtu litoke kunywa kangara liropokee tUuu kama fooollll tena stupi kabisa session ijayo kutakuwa na kifaa bungeni cha kupima walevi tuone huyu na wenzie watapitia wapi kuingia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…