Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie nilibaki hoi baada ya kusikia Rage akituhumu kuna mafisadi yanga wakati yeye yuko uraiani kwa msamaha wa Raisi kwa ufisadi huo huo rufaa ilikuja baadae. Hans Pope ndio kabisa alishafungwa kwa uhahini na Nyerere sasa sijui wasafi wako simba au yanga au recycling ya watu wale wale tu.
Kiukweli kwenye mpira wasafi ni wachache sana na wafanya bashara ya mafuta na magumashi ndio wako katika mipira na wakwepa kodi wakubwa wako huko pia. Watu wasafi hawawezi endesha mpira bongo sababu hakuna mifumo na fitna ndio zimeshika hatamu. Ndio maana michezo haipigi hatua wakati mabenki yanasonga mbele kwa kutambua umuhimu wa wataalamu wa ndani.
Kali kuliko wanasiasa nao wako michezoni kutafuta popularity na wengi wao sio wasafi hata kama walicheza mpira zamani.
kwao ni choma cha nkola nzega,ndio unayaka arudishwe huko?Umenishtusha sana unaposema ulikuwa unamuona Rage a.k.a Alshabab ni mtu wa maana! kwa lipi? si aliwahi kufungwa kwa kuiba pesa ya FAT?? akatishia watu kwa pistol kwenye kampeni Igunga sasa anafyonza pesa za klabu yetu ya simba amekula hata rambirambi ya marehemu mafisango?
Huyu anatakiwa arudishwe kwao nawashangaa sana watu wa tabora kuongozwa na msomali jangili hata kama mnaipenda ccm hakuna mbantu mwenzenu? acheni kutuletea aibu tunakumbuka na kuheshimu sana mchango wa mtemi Mirambo kwenye ukombozi wa taifa hili, msimuangushe hivo!!
Dah! Kumbe Rage alianza kitambo hizi kauli zake za kejeli!! Ndiyo huyu huyu aliyewaita wanachama wa klabu ya simba kuwa eti ni mbumbumbu kwenye ule mkutano wao wa klabu.Mh. Aden Rage,
Mheshimiwa wakati unachangia hotuba ya upinzani, umepotoka kwa kumuita mwenzako (Mchungaji Msigwa) a fool!! Nilikuwa nakuona kama mtu wa maana kumbe hauko hivyo. Uko kwenye mfungo mtukufu unamwita mwenzako mpumbavu ( a fool) . Lugha kama hiyo kwa mtu aliyefunga kwa maungamo, haifai. Fungua tu, wala hutapata thawabu.
Lugha kama hiyo haifai toka kinywani mwako. Kumbe ndio maana Simba haisongi mbele kama hekima yako ndio hiyo.