Naomba nianze kwa kusema hivi (unapodai haki kwa kuvunja haki za wengine unaweza kupoteza hata hiyo haki unayoidai) kazi ya bunge ni kutunga sheria lakini wabunge ndio wamekua wa kwanza kuvunja sheria hizo wanazozitunga wao .
Hivi kauli aliyotamka freeman mbowe siku ya mkutano wa vyama shirika vya cuf,chadema na nccr -mageuzi kwamba siku ya tarehe 10/10/2013 itakua ndio siku ya civil dis obidience, na kauli ya pinda bungeni kua wale wote wanaokaidi amri halari wapigwe.
Tujiepushe na viongozi wa namna hii
tume ya haki za binadamu kwa mboe kutamka kauli hii mko wapi kumfungulia mashitaka au nyinyi ni wanachama wa chadema siwaelewi
Hivi kauli aliyotamka freeman mbowe siku ya mkutano wa vyama shirika vya cuf,chadema na nccr -mageuzi kwamba siku ya tarehe 10/10/2013 itakua ndio siku ya civil dis obidience, na kauli ya pinda bungeni kua wale wote wanaokaidi amri halari wapigwe.
Tujiepushe na viongozi wa namna hii
tume ya haki za binadamu kwa mboe kutamka kauli hii mko wapi kumfungulia mashitaka au nyinyi ni wanachama wa chadema siwaelewi