Uchaguzi 2020 Kauli ya "Msiwavunjie hawa kwa sababu walinipigia kura" itumike katika kampeni na isisahaulike

Uchaguzi 2020 Kauli ya "Msiwavunjie hawa kwa sababu walinipigia kura" itumike katika kampeni na isisahaulike

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Watanzania kama mnakumbuka, moja ya kauli ya kibaguzi ni ile iliyowahi kutolewa Mwanza na Bwana yule akiagiza wakazi wa huko wasibomolewe kwa sababu eti walimpigia kura wakati Dar-es-Salaam watu walivunjiwa nyumba tena wengine wakiripotiwa kuwa na zuio la mahakama wasibomolewe.

Wito wangu ni kuwa, sambamba na kauli nyingine za kibaguzi, kauli hii pia itumike wakati wa kampeni kukumbusha umma wa Watanzania juu ya ubaguzi huu na zaidi jinsi watu walivyotaabika na kuteseka kufuatia bomoabomoe ile.

Mwaka huu wapinzani mna mtaji mzuri sana dhidi ya CCM na mgombea wao hivyo msifanye makosa.

Enough is enough, miaka mitano imetosha.
 
Wafuasi , wanachama na wale viongozi pale msibani city watu wenyenia njema na TZ tunatakiwa tuwasaidie kujua ukweli huu mchungu.
Wajue kuwa imo visions circle ya mradi wa kupiga fedha za michango na yaruzuku za chama. Baadhi ya viongozi wao wanao wa amini kutengenezwa mazingira ya wao wenyewe na kuwachochea wafuasi wao kufanya vitendo vitakavyo sababisha kufunguliwa lindo la kesi. Hizi kesi ni mradi ya baadhi ya viongozi.

Jana mgombea wao nafasi ya urais wa JMT kwa kujua hilo tayari Kesha tumia fursa ya hotuba aliyoipata kuwajenga wale viongozi kisaikologia kwenda kuwa watu wa ghasia. Ili mradi wa kutumia fedha kupitia kesi uimarike zaidi.
 
Si vizuri kumuiga mbaguzi katika ubaguzi wake. Tutawakumbusha wananchi wa Kimara na Ubungo jinsi kiongozi wa Malaika asivyowahtaji hadi kufikia kuwavunjia makazi. Tutawaambia wa Mwanza jinsi walivyodanganywa wanapendwa kwa kuachiwa nyumba lakini wakachomewa nyavu zao halali na kuvunjiwa mitumbwi waliyokuwa wanaitegemea kwa uchumi. Kayenze, Ukerewe, Kamanga wanajua machungu ya Kuchomewa.
 
Back
Top Bottom