Sometimes wanaongea kama vile wanaishi sayari nyingine. Kumgharimikia kijana mpaka asome tuseme miaka 3-4 utauza kuku wangapi kwa kila kuku sh. 5,000 kwa maisha ya kijijini au mbuzi wa sh. elfu 20 mpaka 50 kwa maisha ya kijijini, au ngo'ombe wa laki mbili kwa maisha ya kijijini. Anaongelea mfugaji gani wa kuwa na kiasi cha kufikisha let say 2milioni.
Ni mkulima gani wa mahindii, ndizi, kahawa, pamba, korosho, nazi mazao yanayokuja kwa msimu mmoja kwa mwaka auze ili amsomeshe kijana huyo na chuo na wadogo wake sekondari, na uku nyumbani wakinunua mafuta ya taa na chumvi?[
QUOTE=pelanya;7521403]Kaul aliyotoa naibu wazir wa elimu juu ya wanafunz waliokosa mkopo inaonyesh ni kiasi gani viongozi wetu ni vichomi mulugo amesema kasungula kalikuwa kadogo ivyo kila mtu auze alichonacho kama mbuzi kuku ngombe nk ili agaramie masomo kiongozi kama huyu kwa kauli zake hafai duniani na hata mbinguni mbona watoto wao wanapata mkopo tena wanaenda kusomea nje kwa mikopo ya board kw nini wao wasiuze magali yao ili na sis tusome mungu awape wepesi wote waliokosa mkopo 2013/14[/QUOTE]