Kauli ya mulugo kwa waliokosa mkopo

He is serious or?

Teh...ha ha product yake hii nyingine(why not "is he serious?") LOL kweli ccm wanapaswa kulaaniwa sana kwa kuzalisha vilaza mtaani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwan hapo n ccm au mulugo mbona unakunya atazoa nani?
 
Hakika bado Tz hatujapata viongozi wazalendo na wanaojua hali ya umaskini unaowakabili waTz wenzao
 
HI NDO TANZANIA.NCHI YENYE UDONGO WENYE DHAMBI.....,respect 2 R O M A
 
Kamoja kalikuja pale udsm mwaka 2010 na majibu yake ya kejeli tukakalisha juan et kanadai kaende nkrumah tukakaambia hakana sifa ya kukaa nkrumah


Hawa ndo watawala wa tz na dawa yao ni kunji tu mambo ya kunyenyekea pemben
 
tusilalamike sana ndugu zangu ila tujilaumu sisi na ndugu zetu kwa kutoka kura zetu kwa viongozi kama hawa na sisi watanzania sijui huwa tunachagua viongozi kutokana na vya na sio uelewa wa mtu tusubir tena 2015😛lane😱yeeeeeeeeeeeeeee????????????
 
tujilaumu sisi wenyewe,,,maana tunawachagua tukiwa tumevaa miwani ya mbao,,,,,tuache kuvaa miwani za mbao,,,kipindi cha uchaguzi,,,,,
 
Muda mwingine minaona wadogo zangu siku moja mkusanyike hata kwenye ofisi za makao makuu ya ccm ilikujua ilani ya ccm ilikuwa ni wanafunzi wengi kukosa mikopo au?Na kujua nini kinaendelea kutoka kwenye vitu mlivyo ahidiwa kwenye uchaguzi wa 2010,maana hawa wenzetu wa ccm ndio waliotufikisha hapa leo na lakini pia kama kuna mtu atakuwa na uwezo wa kutoa msaada wa kisheria kuishtaki bodi ya mkopo ama serikali kushindwa kuwapa haki ya msingi ambayo ni elimu zaidi ya wanafunzi 23,000 waliokuwa wanatakiwa kujiunga na vyuo vikuu maana wengi wetu tunatoka kwenye familia za hali duni,Naumia sena kiukweli kuona wadogo zangu mnashindwa kupata haki yenu ya msingi,mm nimejiunga chuo kikuu Ardhi mwaka 2010 hakukuwa na matatizo haya kila aliesoma sayansi alikuwa anapata 100% hii ilitokana na ukweli kilikuwa kipindi cha uchaguzi
 
mh hii tz rais lowasa vice bakhresa prime meng kwisha kaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…