Pre GE2025 Kauli ya No reform, no election" yajifia kwa muktadha wa kinachofanana na kauli za Rais Trump kwa Rais Zelensky: Ya hayati Magufuli nje hatuna wajomba

Pre GE2025 Kauli ya No reform, no election" yajifia kwa muktadha wa kinachofanana na kauli za Rais Trump kwa Rais Zelensky: Ya hayati Magufuli nje hatuna wajomba

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkunazi Njiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2023
Posts
8,538
Reaction score
7,559
Tundu Lissu bado anawaamini wajomba wa nje kwa kuwapelekea malalamiko yake. Rais Trump ni chaguo la Mungu pale anapotufundisha kuwa ili kupambana na ukoloni mamboleo basi uwe na MISULI yako binafsi.

Rais Trump amemwambia bayana Zelensky kuwa hatashinda vita vyake na Urusi....na amemsisitizia kuwa kama hatokubaliana na "mineral deal" basi yeye Trump atakaa pembeni ha ha ha ha tukija huku nyumbani hivi kweli Tundu Lissu sio" Chief Mangungo" wa Msovero? mekuwa akituchongea kwa marafiki zetu wa kimataifa je "in return" yeye ANAPATA nini kwao, na ameahidiwa nini?

Hayati JPM aliukataa UKIBARAKA na makubaliano yasiyo na heshima kwa kutotaka/na kuikimbia FEDHEHA hii aliyopata Rais Zelensky HADHARANI.

Nimejifunza kuwa siasa za vyama visivyo na dola barani afrika kutegemea wajomba wa nje (EU ,US et al) na kama "leverage" ya kutisha vyama tawala inakwenda kujifia na kufutika kabisa usoni pa dunia ,na mh.Rais Trump atakumbukwa na dunia kuwa CHAMPION wa kutengeneza KIFO hicho kilichofumbiwa macho miaka nenda rudi na akina Rais Obama na Rais Joe Biden.

Back in business ,uchaguzi utakuwepo na kura zitapigwa kwa sheria hizihizi tulizonazo kwani zipo kulinda MASLAHI mapana ya DOLA la JMT na si maslahi machache ya wanasiasa na vyama vyao vyovyote vile.


JMT kwanza kabla ya vyama!
Nje hatuna wajomba wa kutupangia TUSICHOKITAKA. Mwenyezi Mungu umlinde na kumhifadhi mh.Rais Samia Suluhu Hassan ,aaaaamin!
 
Hizo namba tatu (Trump, Magu, Tundu) hauoni kwamba zinafanana kwa kila kitu?

Huoni kwamba Personality zao zinafanana kwa 100%.

Hauoni kwamba Trump na Putin ni marafiki sana? Kwa nini! Kwa sababu wana tabia zinazofanana!

Hauoni Trump na Netanyahu wanaivana sana? Kwa nini! Kwa sababu wana tabia zinazofanana!

Na tabia yao kuu inayofanana ni moja, NI WAKWELI NA WAMENYOOKA, HAWAPENDI UONGO NA PROPAGANDA!
 
Hizo namba tatu (Trump, Magu, Tundu) hauoni kwamba zinafanana kwa kila kitu?

Huoni kwamba Personality zao zinafanana kwa 100%.

Hauoni kwamba Trump na Putin ni marafiki sana? Kwa nini! Kwa sababu wana tabia zinazofanana!

Hauoni Trump na Netanyahu wanaivana sana? Kwa nini! Kwa sababu wana tabia zinazofanana!

Na tabia yao kuu inayofanana ni moja, NI WAKWELI NA WAMENYOOKA, HAWAPENDI UONGO NA PROPAGANDA!
Lini Trump alitegemea WAJOMBA wa nje kwa kuwashtaki kwao ?!!
Tundu Lissu ametushtaki kwa waNorway wasitupatie dola milioni 7.kwa "fiscal year"......Tundu Lissu anafanana na Zelensky na si Trump ,unafeli wapi mkuu ?!!
 
..hebu elezeni kwanini mnapinga kuwa na mifumo huru ya uchaguzi.

..Waasisi wa mapendekezo ya kuwa na Tume Huru ni Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kisanga, Jaji Mark Bomani, na Jaji Sinde Warioba. Wote hao ni wana-CCM wenzenu.

..msimlaumu Tundu Lissu kwa kupendekeza mambo ambayo waasisi wake ni wana-Ccm wenzenu.
 
..hebu elezeni kwanini mnapinga kuwa na mifumo huru ya uchaguzi.

..Waasisi wa mapendekezo ya kuwa na Tume Huru ni Jaji Francis Nyalali, Jaji Robert Kisanga, Jaji Mark Bomani, na Jaji Sinde Warioba. Wote hao ni wana-CCM wenzenu.

..msimlaumu Tundu Lissu kwa kupendekeza mambo ambayo waasisi wake ni wana-Ccm wenzenu.
...japo ni CCM hao majaji wote hawakwenda kuconsult mizimu ya taifa hili....walikwenda kuconsult mawazo ya wajomba wakiliberali.....

Tanzania ni taifa la kipekee....
 
...japo ni CCM hao majaji wote hawakwenda kuconsult mizimu ya taifa hili....walikwenda kuconsult mawazo ya wajomba wakiliberali.....

Tanzania ni taifa la kipekee....

..sidhani kama mizimu ya nchi yetu ndiyo iliyopendekeza dhuluma ktk chaguzi zetu.
 
Zelensky amefukuzwa White House.
I think President Trump should learn to be patient.
 
Tundu Lissu bado anawaamini wajomba wa nje kwa kuwapelekea malalamiko yake .Rais Trump ni chaguo la Mungu pale anapotufundisha kuwa ili kupambana na ukoloni mamboleo basi uwe na MISULI yako binafsi.
Rais Trump amemwambia bayana Zelensky kuwa hatashinda vita vyake na Urusi....na amemsisitizia kuwa kama hatokubaliana na "mineral deal" basi yeye Trump atakaa pembeni ha ha ha ha tukija huku nyumbani hivi kweli Tundu Lissu sio" Chief Mangungo" wa Msovero?!!!.
Amekuwa akituchongea kwa marafiki zetu wa kimataifa je "in return" yeye ANAPATA nini kwao ,na ameahidiwa nini ?!!
Hayati JPM aliukataa UKIBARAKA na makubaliano yasiyo na heshima kwa kutotaka/na kuikimbia FEDHEHA hii aliyopata Rais Zelensky HADHARANI.

Nimejifunza kuwa siasa za vyama visivyo na dola barani afrika kutegemea wajomba wa nje (EU ,US et al) na kama "leverage" ya kutisha vyama tawala inakwenda kujifia na kufutika kabisa usoni pa dunia ,na mh.Rais Trump atakumbukwa na dunia kuwa CHAMPION wa kutengeneza KIFO hicho kilichofumbiwa macho miaka nenda rudi na akina Rais Obama na Rais Joe Biden.

Back in business ,uchaguzi utakuwepo na kura zitapigwa kwa sheria hizihizi tulizonazo kwani zipo kulinda MASLAHI mapana ya DOLA la JMT na si maslahi machache ya wanasiasa na vyama vyao vyovyote vile.


#JMT kwanza kabla ya vyama!
#Nje hatuna wajomba wa kutupangia TUSICHOKITAKA
#Mwenyezi Mungu umlinde na kumhifadhi mh.Rais Samia Suluhu Hassan ,aaaaamin!
Uchaguzi kuwepo bila mabadiliko/maboresho ya taratibu ni uthibitisho kuwa: NO REFORMS... NO ELECTIONS!
 
Tundu Lissu bado anawaamini wajomba wa nje kwa kuwapelekea malalamiko yake .Rais Trump ni chaguo la Mungu pale anapotufundisha kuwa ili kupambana na ukoloni mamboleo basi uwe na MISULI yako binafsi.
Rais Trump amemwambia bayana Zelensky kuwa hatashinda vita vyake na Urusi....na amemsisitizia kuwa kama hatokubaliana na "mineral deal" basi yeye Trump atakaa pembeni ha ha ha ha tukija huku nyumbani hivi kweli Tundu Lissu sio" Chief Mangungo" wa Msovero?!!!.
Amekuwa akituchongea kwa marafiki zetu wa kimataifa je "in return" yeye ANAPATA nini kwao ,na ameahidiwa nini ?!!
Hayati JPM aliukataa UKIBARAKA na makubaliano yasiyo na heshima kwa kutotaka/na kuikimbia FEDHEHA hii aliyopata Rais Zelensky HADHARANI.

Nimejifunza kuwa siasa za vyama visivyo na dola barani afrika kutegemea wajomba wa nje (EU ,US et al) na kama "leverage" ya kutisha vyama tawala inakwenda kujifia na kufutika kabisa usoni pa dunia ,na mh.Rais Trump atakumbukwa na dunia kuwa CHAMPION wa kutengeneza KIFO hicho kilichofumbiwa macho miaka nenda rudi na akina Rais Obama na Rais Joe Biden.

Back in business ,uchaguzi utakuwepo na kura zitapigwa kwa sheria hizihizi tulizonazo kwani zipo kulinda MASLAHI mapana ya DOLA la JMT na si maslahi machache ya wanasiasa na vyama vyao vyovyote vile.


#JMT kwanza kabla ya vyama!
#Nje hatuna wajomba wa kutupangia TUSICHOKITAKA
#Mwenyezi Mungu umlinde na kumhifadhi mh.Rais Samia Suluhu Hassan ,aaaaamin!
Chenga
 
Tundu Lissu bado anawaamini wajomba wa nje kwa kuwapelekea malalamiko yake. Rais Trump ni chaguo la Mungu pale anapotufundisha kuwa ili kupambana na ukoloni mamboleo basi uwe na MISULI yako binafsi.

Rais Trump amemwambia bayana Zelensky kuwa hatashinda vita vyake na Urusi....na amemsisitizia kuwa kama hatokubaliana na "mineral deal" basi yeye Trump atakaa pembeni ha ha ha ha tukija huku nyumbani hivi kweli Tundu Lissu sio" Chief Mangungo" wa Msovero? mekuwa akituchongea kwa marafiki zetu wa kimataifa je "in return" yeye ANAPATA nini kwao, na ameahidiwa nini?

Hayati JPM aliukataa UKIBARAKA na makubaliano yasiyo na heshima kwa kutotaka/na kuikimbia FEDHEHA hii aliyopata Rais Zelensky HADHARANI.

Nimejifunza kuwa siasa za vyama visivyo na dola barani afrika kutegemea wajomba wa nje (EU ,US et al) na kama "leverage" ya kutisha vyama tawala inakwenda kujifia na kufutika kabisa usoni pa dunia ,na mh.Rais Trump atakumbukwa na dunia kuwa CHAMPION wa kutengeneza KIFO hicho kilichofumbiwa macho miaka nenda rudi na akina Rais Obama na Rais Joe Biden.

Back in business ,uchaguzi utakuwepo na kura zitapigwa kwa sheria hizihizi tulizonazo kwani zipo kulinda MASLAHI mapana ya DOLA la JMT na si maslahi machache ya wanasiasa na vyama vyao vyovyote vile.


JMT kwanza kabla ya vyama!
Nje hatuna wajomba wa kutupangia TUSICHOKITAKA. Mwenyezi Mungu umlinde na kumhifadhi mh.Rais Samia Suluhu Hassan ,aaaaamin!
Kama unaamini katika JMT kwanza, lazima uamini katika uhitaji wa katiba mpya.
 
Hayati JPM aliukataa UKIBARAKA na makubaliano yasiyo na heshima kwa kutotaka/na kuikimbia FEDHEHA hii aliyopata Rais Zelensky HADHARANI.
RIP Shujaa JPM. Uliyaona haya mapema ukatutahadharisha, na kututaka tujisimamie sisi wenyewe ili kuepuka kufedheheshwa na hao wajomba. Zelensky yamemkuta; hatujui nani anayefuatia !?
Tutakukumbuka daima mwamba.
 
Wanachama wa CCM utawaweza,;hapo Mh Rais akikubali kukutana na Wapinzani na kufanya marekebisho ya mfumo wetu( hata marekebisho madogo) ya mfumo wa Uchaguzi ili uwe huru na haki , utasikia sifa LUKUKI toka kwao kwenda kwake..TUWAPUUZE tu
 
Back
Top Bottom