Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,930
- 2,565
Salaaamm..!
...naomba kufahamishwa kwa mujibu wa sheria za tanzania,katiba inasema nini endapo rais atatoa kauli au matamshi yoyote yatakayothibitika si ya kweli..??? kwa mfano kauli ya uwongo au upotoshaji,au yenye kuashiria kulinda maslahi binafsi...
muongozo tafadhali...
...naomba kufahamishwa kwa mujibu wa sheria za tanzania,katiba inasema nini endapo rais atatoa kauli au matamshi yoyote yatakayothibitika si ya kweli..??? kwa mfano kauli ya uwongo au upotoshaji,au yenye kuashiria kulinda maslahi binafsi...
muongozo tafadhali...