sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Hotuba yake hii ya kanisani aliingiza siasa ambazo ziliibua mjadala wa ubaguzi kwa kusema "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio anaadaliwa kushika uspikaKuna kauli tata sana alitowahi kuzitoa kuhusu zanzibar.
ilionyesha ubaguzi wa wazi wazi.
Hakika kavuna alichopanda.
Bado mmekalili sana maisha.Huwez kumwacha Kada km lukuvi so matumaini kwake yapo tena makubwa Tu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mmawia sidhani Kama Kuna kitu Kama hichoMwenzio anaadaliwa kushika uspika
Hakuna mwenye uhakika ndugu lkn hapa kila mtu anajaribu kutoa hisia zake.Mmawia sidhani Kama Kuna kitu Kama hicho
Amini maneno yangu mkuu Lukuvi anaenda kuwa spikaHuwez kumwacha Kada km lukuvi so matumaini kwake yapo tena makubwa Tu.
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Alisema nini?Kuna kauli tata sana alitowahi kuzitoa kuhusu zanzibar.
ilionyesha ubaguzi wa wazi wazi.
Hakika kavuna alichopanda.
Amini maneno yangu mkuu Lukuvi anaenda kuwa spika
Jombiii usichokijua ni kuwa lukuvi ameondolewa makusudi ili apelekwe akahudumu pale alipoondolewa ngugai.subiri ndo utajua hujui.Kuna kauli tata sana alitowahi kuzitoa kuhusu zanzibar.
ilionyesha ubaguzi wa wazi wazi.
Hakika kavuna alichopanda.
Asipokuwa maisha yanasonga tu maana siyo deni mkuuAsipokua?
Asipokuwa je? Tuache kukuamini tena? Majibu tafadhali.Amini maneno yangu mkuu Lukuvi anaenda kuwa spika
Kawaida ya mwafrika ni kutoamini mpaka aoneAsipokuwa je? Tuache kukuamini tena? Majibu tafadhali.
Lini CCM ilitegemea ushindi kwa kura? Kama tunataka kuwatapika hakuna haja kusubiri 2025.Wanzanzibar wote pamoja na kiongozi wao tunawatapika 2025
Sasa kama hiyo kawaida kama unaijua ndo vizuri ungejibu swali. Je,asipokuwa Spika tusikuamini hapa jamvini tena?Kawaida ya mwafrika ni kutoamini mpaka aone
Huo utakuwa ni utashi wako mkuuSasa kama hiyo kawaida kama unaijua ndo vizuri ungejibu swali. Je,asipokuwa Spika tusikuamini hapa jamvini tena?
Usipika wa nyumbani kwenye?Mwenzio anaadaliwa kushika uspika