Kauli za mastaa wetu

bana eeeh is a cursekuzaliwa linchi kama tanzania ..kila kitu ovyo tu.kama walisema hivyo wako right.hatuwzi kujivunia nchi lililooza kama Tanzania

Hahaha! Binamu umenikumbusha jamaa yangu aliwahi kusema: Ni heri kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadamu Afrika. Lol!
 
@mziwanda, tupo wengi sana mziwanda tunaosikitika na hii kauli, naomba nikurekebishe kauli hii aliitoa salama mara zote, siku ya fainali alituma msg kwa msisitizo lakini labda nikukumbushe kitu kimoja. JF is the room for great thinkers and salama is not even one tenth, she z kilaza totaly and completely so just ignore her. okay? if that kinda of statement could have come from someone like dk slaa or zitto we could waste our time to discuss this.
 
hako ka kauli ka madame Rita kaliniboa mie nikajiuliza alitaka azaliwe wapi ,,Marekani au wapi??
lazima tujivunie uzalendo wetu na tuamini kama tunaweza kufanya makubwa zaidi ya hao wenye rangi nyeupe
 

Chadema wastaarabu bana.
 
Aaaah umejuaje bwana labda alikuwa anaanisha MWANZA badala ya DAR ES SALAAM ambazo zote ziko TANZANIA na AFRIKA.

Umeenda mbali sana kaka.

MJ
Ingekuwa Mza au Dar angesema "born in the wrong part of TZ" na ukiangalia the flow ya walichokuwa wanaimba hao vijana ni moja kwa moja Tanzania na Africa are the wrong parts of the world. Tukubali udhaifu.
 

ndugu, muasisi wa hiyo kauli ni madam Rita ktk BSS ya mwaka jana ambapo mbati alishiriki na kutoweka ghafla hadi alipoibukia hii. Salama alichofanya ni kuiwekea nakshi tu. Pia, wanasiasa hawana influence kubwa kwa vijana wanaochipukia kama hawa wasanii maarufu. Pia mwanasiasa akisema hivyo itaonekana ni propaganda zaidi. Pia, kama huyo Rita ana akili zaidi ya Salama angeichuja hiyo kauli. Kwa maana hiyo wote kitu kimoja-hamnazo
 
Mi naona bomba tu- sioni shida na kauli hiyo.

Anayetakiwa kujilaumu ni wewe kama mpiga kura na wengineo wote walioattempt kupiga kura zile!

Yule kijana Mbate ni kweli hakustahili kuzaliwa hapa, maana nyie mlio wake wala hamjamsupport kwenye kura, hii ikionyesha kwamba he is an alien!

Wanaoelewa lugha ya Kiingereza ndo waliompa kura zile chache, and that is where he belong, na sio huku Bongo ambako kutokana na kutojua lugha aliyokuwa anaimba basi mmemwangusha! Lol!
 
Ingekuwa Mza au Dar angesema "born in the wrong part of TZ" na ukiangalia the flow ya walichokuwa wanaimba hao vijana ni moja kwa moja Tanzania na Africa are the wrong parts of the world. Tukubali udhaifu.

Ohh no. kwani Mwanza na Dar haziko kwenye part ya dunia...?
 
Mi naona bomba tu- sioni shida na kauli hiyo.

Anayetakiwa kujilaumu ni wewe kama mpiga kura na wengineo wote walioattempt kupiga kura zile!

Yule kijana Mbate ni kweli hakustahili kuzaliwa hapa, maana nyie mlio wake wala hamjamsupport kwenye kura, hii ikionyesha kwamba he is an alien!

Wanaoelewa lugha ya Kiingereza ndo waliompa kura zile chache, and that is where he belong, na sio huku Bongo ambako kutokana na kutojua lugha aliyokuwa anaimba basi mmemwangusha! Lol!
 
Mdharau kwao siku zote huwa ni maskini wa nasaba! La msingi ni kusaidia kuchangia ili hapa kwetu sanaa iwe na hadhi inayostahili.
 
Waache tuu waamini kuwa wapo in a wrong part of the universe and they will remain wrong for life,who the hell do they think can take them to that right part of the globe?Hawa watu hawajui na hawajui kama hawajui!!!!
 

Uvaaji wa salama unamwonyesha ni jinsi gani alivyopungukiwa akili na kufagilia wazungu..... huuu ni upumbavu kabisa
 

kaka, burudani ya mziki si lugha bali unavyomudu kutumia sauti yako. Julio iglesia asingekuwa na wapenzi duniani kote. Wewe ni mmojawapo
 
ina bendera ya tanzania na nyingine inaninginia nje ya gari.......
Kwani Tanzania tunaruhusiwa kutembea na bendera ya Taifa kwa mtu wa kawaida? chadema waliitumia bendera ya Taifa walipigiwa makelele kweli sijui sakata hilo lilifikia wapi
 
Kwani Tanzania tunaruhusiwa kutembea na bendera ya Taifa kwa mtu wa kawaida? chadema waliitumia bendera ya Taifa walipigiwa makelele kweli sijui sakata hilo lilifikia wapi

Kwani jamaa ni WaTZ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…