KWANI RITA NI NANI, SALAMA NI NANI! Mtu na akili yako utakaa unaskiliza kritiki za hawa watu? huwa naangalia mara chache sana show hii hasa wife anapong'ang'ania, wakati discovery hakuna kpnd kizuri. ss watanzania ndy tatizo letu, they own BSS....halafu they pretend kujua kila kitu! kwa nini wasiajiri watu kutoka vyuo vya sanaa bagamoyo au butimba? hata hao maproducer hawajasomea music, wamejifunza kutumia fruitloop tu wakapata umaarufu bongo. uzoefu huua
karagabaho
Kwani Tanzania tunaruhusiwa kutembea na bendera ya Taifa kwa mtu wa kawaida? chadema waliitumia bendera ya Taifa walipigiwa makelele kweli sijui sakata hilo lilifikia wapi
KWANI RITA NI NANI, SALAMA NI NANI! Mtu na akili yako utakaa unaskiliza kritiki za hawa watu? huwa naangalia mara chache sana show hii hasa wife anapong'ang'ania, wakati discovery hakuna kpnd kizuri. ss watanzania ndy tatizo letu, they own BSS....halafu they pretend kujua kila kitu! kwa nini wasiajiri watu kutoka vyuo vya sanaa bagamoyo au butimba? hata hao maproducer hawajasomea music, wamejifunza kutumia fruitloop tu wakapata umaarufu bongo. uzoefu huua
karagabaho
KWANI RITA NI NANI, SALAMA NI NANI! Mtu na akili yako utakaa unaskiliza kritiki za hawa watu? huwa naangalia mara chache sana show hii hasa wife anapong'ang'ania, wakati discovery hakuna kpnd kizuri. ss watanzania ndy tatizo letu, they own BSS....halafu they pretend kujua kila kitu! kwa nini wasiajiri watu kutoka vyuo vya sanaa bagamoyo au butimba? hata hao maproducer hawajasomea music, wamejifunza kutumia fruitloop tu wakapata umaarufu bongo. uzoefu huua
karagabaho
labda bugango ni wrong place na ocean road ni right place....
..Kauli kama 'u were born on the wrong part of the world' ambazo zinamaanisha hiyo wrong part ni bongo. Kauli hii imetolewa na madam Rita wakati flani pamoja na salama jana kwenye BSS. ..
hivi discovery chanel mbona mwenzio huwa sipati cha kuangalia hebu nipe ratiba labda nitatry
hivi discovery chanel mbona mwenzio huwa sipati cha kuangalia hebu nipe ratiba labda nitatry
Kauli kama 'u were born on the wrong part of the world' ambazo zinamaanisha hiyo wrong part ni bongo.
Mi NILIFIKIRI anamaanisha dunia ya muziki, ukiweka factors zingine kuwa ni constant variable, ni kweli kuwa wangekuwa sehemu ambazo zina miundombinu mizuri ya kuendeleza muziki wangekuwa mbali kimuziki kuliko hapa bongo, kwamba kwa maendeleo yao na future kimuziki they are in a wrong place.
ceteris peribus. Ukweli ni huo. Hawana uwezo wa kuhold other variables kama hali ya uchumi, kipato binafsi, n.k kuwa constant. Walimaanisha kila wanachohisi kilichopo ndani ya tz
mziwanda, uko sahihi kabisa kwa ujumbe wako, wabongo bwana wanajisheua tu kujikweza eti wao matawi ya juu, kama hawawezi ku-construct maneno ya kiingereza si watumie kiswahili tu??? Jaribu kutazama filamu moja ya kitanzania iitwayo Regina utaona madudu ya wasanii wetu humo, ujumbe na maudhui ni mzuri ila awshiriki sasa ndo wanaharibu ile mantiki halisi ya picha hiyo, eti kiswanglish cha kuumia maeneo fulani waliyoyazowea mdomoni, tehe tehe tehe. Anyway ndo mambo yetu hayo ya kibongo ktk kutafuta umaarufu ila mwisho wa siku tutajua nani anachemsha, wamuone mwenzao Kanumba kwenye BBA.
Mimi nafikiri sisi waafrika hatujithamini kiasi cha kupelekea hata watu wa mabara mengine kuwa na dharau,kwa mfano mchina anaweza akasahau kukusalimia ila akakuuliza wewe ni mtu wapi?ukimjibu unatoka afrika maswali yanakuwa yamekwisha kwangu huwa naona kama dharau.
mama hii kitu si ya kila kiumba kuangalia, huko kuna mambo ya sayansi na ugunduzi/uvumbuzi inabidi uwe umesogea kidogo kwenda nayo sawa.
Sisi wengine tuangalie ze comedy tu ndo zetu.
Mj
Mi naona bomba tu- sioni shida na kauli hiyo.
Anayetakiwa kujilaumu ni wewe kama mpiga kura na wengineo wote walioattempt kupiga kura zile!
Yule kijana Mbate ni kweli hakustahili kuzaliwa hapa, maana nyie mlio wake wala hamjamsupport kwenye kura, hii ikionyesha kwamba he is an alien!
Wanaoelewa lugha ya Kiingereza ndo waliompa kura zile chache, and that is where he belong, na sio huku Bongo ambako kutokana na kutojua lugha aliyokuwa anaimba basi mmemwangusha! Lol!