Kauli za Rais na Makamu wa Rais zinaashiria kuna tatizo kubwa kwa mawaziri, kwanini mliwateua?

Kauli za Rais na Makamu wa Rais zinaashiria kuna tatizo kubwa kwa mawaziri, kwanini mliwateua?

Memento

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
4,423
Reaction score
9,986
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
 
Wabunge waliopo bingen wengi wao hawafai kuwa mawaziri.

Sema kwa sababu ya katiba mbovu ina bidi raisi achague haohao wabovu kuwa mawaziri

Ili takiwa waziri CIO lazima awe mbunge ili, aweze kuitumikia wizara vizuri.

Ss saivi hata akivurunda kwenye uwaziri, hana cha kupoteza Kwa sababu tayar ana ubunge mkononi
 
Waliwateua Ili kumuondoa kabudi, Mana katika watu wenye akili CCM kabudi namba 1, mama alisema mwenyewe form four alifeli
 
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
Kwanza hawana watu wa aina wanaowatamani huko chamani na ndiyo maana kina waitara,silinde,katambi-makapi kuwa mawaziri.
Pili,angalia idadi ya Maprofesa na Madoctor walioteuliwa kuwa mawaziri tangia Magu na Samia walipoingia kutawala.Je,wana impact yoyote?

Waliwaondoa,wanajeshi, wahadhiri na wataalam wengine walikokuwa na kuwaonjesha keki tamu ya siasa but they delivered nothing different.Just the same rubbish.

Unamfahamu KM wa CCM wa sasa?Ongezeko la Witch Doctors nalo ulizingatie-kina kasheku and co.ltd wanaotaka undugai.
Bila kubadilisha mifumo-Katiba hii nchi kupigwa mnada isn't an option.
 
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
Rais mwenyewe anataka hao hao dhaifu na wenye matatizo ili aweze kuwadhibiti. Wanaoweza na wale anaowaona wamemzidi akili na maarifa anawaweka karantini
 
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
Utamtoa wapi malaika ufanye nae kazi!!? Binadamu ana mapungufu huwezi muwekea guarantee ndio maana marais wengine hujigeuza madikteta!! Hivyo lzm tuishi kwa kukemeana na kurekebishana utateua mpaka lin!?
 
Kwanza hawana watu wa aina wanaowatamani huko chamani na ndiyo maana kina waitara,silinde,katambi-makapi kuwa mawaziri.
Pili,angalia idadi ya Maprofesa na Madoctor walioteuliwa kuwa mawaziri tangia Magu na Samia walipoingia kutawala.Je,wana impact yoyote?

Waliwaondoa,wanajeshi, wahadhiri na wataalam wengine walikokuwa na kuwaonjesha keki tamu ya siasa but they delivered nothing different.Just the same rubbish.

Unamfahamu KM wa CCM wa sasa?Ongezeko la Witch Doctors nalo ulizingatie-kina kasheku and co.ltd wanaotaka undugai.
Bila kubadilisha mifumo-Katiba hii nchi kupigwa mnada isn't an option.
Mkuu mbona unalalamika sana toa ushauri, mipasho fc noma, saidia nchi yako kwa kutoa ushauri utachukuliwa tu
 
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
kwenye kikoba chetu vijana wapo ila hatuwaamini, wasijeungana na watesi wetu
 
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
CCM kumejaa uozo, atamteua nani?
 
Mkuu mbona unalalamika sana toa ushauri, mipasho fc noma, saidia nchi yako kwa kutoa ushauri utachukuliwa tu
CCM kwa uroho wenu wa madaraka huwa mnasikiliza ushauri wa nani?Hakuna nchi nyingine tunayohitaji kuitumikia na kuisaidia kama hii ila watawala hawapo tayari kutushirikisha kwa kuwa sisi tunasadikika kuleta choko choko.
Kimsingi tunawashangaa wenzetu mlivyojipa umiliki wa nchi hii.Tumedai Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa miaka na miaka lakini mnavyotutendea maovu?
 
Wabunge waliopo bingen wengi wao hawafai kuwa mawaziri.

Sema kwa sababu ya katiba mbovu ina bidi raisi achague haohao wabovu kuwa mawaziri

Ili takiwa waziri CIO lazima awe mbunge ili, aweze kuitumikia wizara vizuri.

Ss saivi hata akivurunda kwenye uwaziri, hana cha kupoteza Kwa sababu tayar ana ubunge mkononi
Ndio TATIZO LA KUPITISHA WABUNGE WASIO NA SIFA ZA KUWA MAWAZIRI MAGUFULI ALIWAPITISHA WABUNGE WA KUMWONGEZEA MUHULA MAMBO YA UKABILA USHEMEJI NA KUJUANA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza hawana watu wa aina wanaowatamani huko chamani na ndiyo maana kina waitara,silinde,katambi-makapi kuwa mawaziri.
Pili,angalia idadi ya Maprofesa na Madoctor walioteuliwa kuwa mawaziri tangia Magu na Samia walipoingia kutawala.Je,wana impact yoyote?

Waliwaondoa,wanajeshi, wahadhiri na wataalam wengine walikokuwa na kuwaonjesha keki tamu ya siasa but they delivered nothing different.Just the same rubbish.

Unamfahamu KM wa CCM wa sasa?Ongezeko la Witch Doctors nalo ulizingatie-kina kasheku and co.ltd wanaotaka undugai.
Bila kubadilisha mifumo-Katiba hii nchi kupigwa mnada isn't an option.
Yule Askofu na Nabii wa kanisa la Efata Mwingira alipo liona hili la mapepo Ikulu na kulikemea alikamatwa na jeshi la polisi na kupewa msukosuko

Huyu ni wa Mungu

Leo Makamu wa Rais kaweka Wazi hii inaitwa "Karma"
Mccm@Mayalla Pasco njoo uwaelekeze nduguzo nini kinacho fuata sasa
Ni Umauti tuuu!!!
 
Nimesikia kauli za Rais na Makamu wa Rais na zote zinaashiria kuna tatizo kubwa sana kwa mawaziri. Ila bado nashangaa imekuwaje mnawateua inakuwaje mnaendelea nao? Ni kweli huko CCM hakuna watu wengine? Au sio nyie mnaowateua? Ikiwa una mamlaka kamili na unaona Kuna watendaji hawafanyi vizuri si unatengua tu ili kupata watendaji wengine wazuri?

Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?

Kwa muenendo huo wataleta kweli maendeleo kwa nchi na wananchi?
Nakumbuka mama Samia aliwahi kusema anaowatengua ni wale legelege na anawaacha wale ambao wapo vizuri. Ila kwa kauli walizotoa ni wazi bado tatizo ni kubwa sana kuliko kawaida. Makamu wa Rais amezungumzia kauli nzito sana kwa mawaziri, Sasa ni Nani wa kuwawajibisha ikiwa nyie wenyewe mnashangaa na kulalamika?
Screenshot_20220115-055348.jpg
 
Back
Top Bottom