Kauli za ukweli kwa wapendanao

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
1. UKITAKA Kumjua Mume
mwenzio, mwache MKeo!!
 
Anayeonekana mpya kwako kwa mwenzako anaonekana screpa
 
Duh kuna maneno mengne ukiambiwa na mwenza wako yanachoma sana.
 
Ungeweka /mumeo unless wanaume nyie hamstahili kupewa mapenzi peke yenu tu mkiwa waume bali hata mahawara.Nzuri lakini....SANA!

Da Lizyy na wewe...mimi ni mwanaume ndo maana nkaiweka kiivyo...hebu wewe i-feminishe basi!!!
thnx anyway.
 
karibu kaka nimependa avata na jina lako.

Oh my...wow, Romance...unajua wanaume hawaruhusiwi ku-blush, but u forcing me to!!!
Nashukuru sana dada...ur ID makes me curious (u knw wat am sayng...)!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…