Kauli za ukweli kwa wapendanao

Oh my...wow, Romance...unajua wanaume hawaruhusiwi ku-blush, but u forcing me to!!!
Nashukuru sana dada...ur ID makes me curious (u knw wat am sayng...)!!!


sikuruhusu uwe curious zaidi ya hapo mimi ni observer jana niliona mistari ya babygal niligusia avata sababu kuna uzi umerushwa hapa mmu
 
Da Lizyy na wewe...mimi ni mwanaume ndo maana nkaiweka kiivyo...hebu wewe i-feminishe basi!!!thnx anyway.
Hahaha...MAPENZI MPE MUMEO...HAWARA HANA ISHU!!Kwa hisani ya kaka yangu Mentor!
 
sikuruhusu uwe curious zaidi ya hapo mimi ni observer jana niliona mistari ya babygal niligusia avata sababu kuna uzi umerushwa hapa mmu

Nishajikuta hivyo..mi sikuwa nimeconnect na uzi wa Tuko, but well...serikali zinapinduliwa sembuse mtu mmoja!?? ebu tiisha kiu yangu tafadhali..

Babygal sijui kaenda wapi na baba ake (Mr. DADDY)....wameweka pending marriage proposal yangu!
 
Nishajikuta hivyo..mi sikuwa nimeconnect na uzi wa Tuko, but well...serikali zinapinduliwa sembuse mtu mmoja!?? ebu tiisha kiu yangu tafadhali..

Babygal sijui kaenda wapi na baba ake (Mr. DADDY)....wameweka pending marriage proposal yangu!



tena wewe endelea kujidanganya unatoa mistari hapa eti yuko na daddy.. pole nani kakwambia daddy wake yule?
 
Nishajikuta hivyo..mi sikuwa nimeconnect na uzi wa Tuko, but well...serikali zinapinduliwa sembuse mtu mmoja!?? ebu tiisha kiu yangu tafadhali..Babygal sijui kaenda wapi na baba ake (Mr. DADDY)....wameweka pending marriage proposal yangu!
Been thinking about you all day!!
 
hata mimi imenitokea live yaani ugomvi kidogo tu nime mfahamu, nika jifunza kua when u hurt a woman hurt her hardly
 
Been thinking about you all day!!

Ohh me love, where have thee been
i came here early in morn
looked for u everywhere to no avail
i missed u, u made me wail

umeshindaje sweetheart!??
 
Ohh me love, where have thee beeni came here early in mornlooked for u everywhere to no availi missed u, u made me wailumeshindaje sweetheart!??
Afadhali umekuja maana Romance kanichosha na madai yake eti daddy ananipenda kikubwa!!Anyway my day wasn‘ t that good since you my Mentor (if you don‘t mind me calling you that) wasn‘t around!
 
Afadhali umekuja maana Romance kanichosha na madai yake eti daddy ananipenda kikubwa!!Anyway my day wasn‘ t that good since you my Mentor (if you don‘t mind me calling you that) wasn‘t around!

Ooooh....dat's so sad! u nid to do the needful!
Mi mwenyewe nimefurahi umekuja to my aid...Romance ashaanza kuni..well, tumsamehe bure!
Baba mkwe mzima lakini? Nyote mmepotea leo nikashindwa kujua what hapenned!
 
Ooooh....dat's so sad! u nid to do the needful!
Mi mwenyewe nimefurahi umekuja to my aid...Romance ashaanza kuni..well, tumsamehe bure!
Baba mkwe mzima lakini? Nyote mmepotea leo nikashindwa kujua what hapenned!


unajipa moyo **** wewe mimi nashanga hizi pairs hapa jf utani kweli?
 
Ooooh....dat's so sad! u nid to do the needful!Mi mwenyewe nimefurahi umekuja to my aid...Romance ashaanza kuni..well, tumsamehe bure!Baba mkwe mzima lakini? Nyote mmepotea leo nikashindwa kujua what hapenned!
Niliingia asubuhi kidogo sikukuona nikatoka!!Baba mkwe yuko bize siunajua tena mkate wangu unamtegemea yeye!!So tell me whatsup wit you today?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…