Kauli za wanasiasa kuwa Rais katuletea hela za maendeleo zinavunja moyo wa kulipa kodi na kutengeneza kizazi kisichowajibika

Kauli za wanasiasa kuwa Rais katuletea hela za maendeleo zinavunja moyo wa kulipa kodi na kutengeneza kizazi kisichowajibika

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimetafakari sana jinsi wanasiasa wanashindwa kutenganisha hisani ya rais na sio pesa za kodi. Hizo kauli zinafanya watu waone kwamba kumbe hata wasipolipa kodi wataletewa na rais jambo ambalo sii kweli hata kidogo.

Natamani msisitizo mkubwa uwe hili dalaja ni kodi zenu zimejenga hospitali nayo ni kodi zenu zimejenga nk
Badala ya kuwahaza watu ujinga kwamba hizi hela zimeletwa na rais.

Dhana hiyo hutafsiriwa kama vile rais ni kama baba watoto anavyotafutia mahitaji watoto wake, ambapo wao hawana mchango wowote.
 
Hizi kauli, zinapatikana kwenye taifa la kizezeta kama Tanzania tu. Pale Rwanda huwezi sikia eti pesa za Kagame, au Pesa za Mseven pale Uganda au Pesa za Ruto pale Kenya. Kenya wanaita ni pesa za Zerikali, the same na Uganda na Rwanda pia hata Burundi.

Ni tanzania tu ndio kuna huu ujinga na sababu kuu ni kwamba ujinga wa hili taifa ni asilimia 90 inavuka viwango vya ujinga vya Umoja wa Mataifa
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimetafakari sana jinsi wanasiasa wanashindwa kutenganisha hisani ya rais na sio pesa za kodi. Hizo kauli zinafanya watu waone kwamba kumbe hata wasipolipa kodi wataletewa na rais jambo ambalo sii kweli hata kidogo.

Natamani msisitizo mkubwa uwe hili dalaja ni kodi zenu zimejenga hospitali nayo ni kodi zenu zimejenga nk
Badala ya kuwahaza watu ujinga kwamba hizi hela zimeletwa na rais.

Dhana hiyo hutafsiriwa kama vile rais ni kama baba watoto anavyotafutia mahitaji watoto wake, ambapo wao hawana mchango wowote.
Ni upuuzi mtupu! Hakuna bajeti ya bunge? Wabunge ni wapuuzi sana!
 
Hizi kauli, zinapatikana kwenye taifa la kizezeta kama Tanzania tu. Pale Rwanda huwezi sikia eti pesa za Kagame, au Pesa za Mseven pale Uganda au Pesa za Ruto pale Kenya. Kenya wanaita ni pesa za Zerikali, the same na Uganda na Rwanda pia hata Burundi.

Ni tanzania tu ndio kuna huu ujinga na sababu kuu ni kwamba ujinga wa hili taifa ni asilimia 90 inavuka viwango vya ujinga vya Umoja wa Mataifa
Rais ndio Raia namba moja katika Taifa so Kila kitu ni chake
 
Hujui kitu wewe
Wewe unajua nini mtoto mdogo acha mikwara mbuzi na ujuaji wakati kichwa Yako ni box ndogo ya kondomu,

Wewe unajua nini ambacho sisi hatukijui?

Comments zako zinadhihilisha hili Taifa lina Wajinga walikomaa na kufika stage ya kuvuna upumbavu!

Labda kama unatania ila kama upo serious acha uzushi kwa maslahi ya wajukuu zako!
Shabhashhhh!
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimetafakari sana jinsi wanasiasa wanashindwa kutenganisha hisani ya rais na sio pesa za kodi. Hizo kauli zinafanya watu waone kwamba kumbe hata wasipolipa kodi wataletewa na rais jambo ambalo sii kweli hata kidogo.

Natamani msisitizo mkubwa uwe hili dalaja ni kodi zenu zimejenga hospitali nayo ni kodi zenu zimejenga nk
Badala ya kuwahaza watu ujinga kwamba hizi hela zimeletwa na rais.

Dhana hiyo hutafsiriwa kama vile rais ni kama baba watoto anavyotafutia mahitaji watoto wake, ambapo wao hawana mchango wowote.
Ni kweli inadhoofisha mioyo ya walipakodi
 
Mimi nadhai Kama Ipo haja ya kumsifia Rais Katika Swala la fedha za umma ilifaa hao vjongozi wafocus kwenye Swala LA kusimamia makusanyo ya kodi na kueka wigo mpana wa kodi, wamsifu jinsi serikali anayoingoza na taasisi zake zinavyosimamia matumizi sahihi ya fedha Kama zilivyokusudiwa na zinavgokidhi mahitaji ya watanzania. Hali kadhalika wangemsifu kwa namna ambayo serikali anayoingoza inavyowawajibisha watu wanaofisidi fedha za umma tena kwa indicators zilizo dhahiri. Ni wazi kwamba unapomsifia kwamba anazunguka HUKU na huko akitafuta fedha inaonekana wananchi wamepoteza nafasi yao kama wajenga nchi kwa kupitia kazi, huduma, uzalishaji na kodi wanazolipa. Rais amepewa dhamana tu ya kusimamia na sio kwamba ni mali yake. Wananchi wanao wajibu wa kumuwajibisha Rais na serikali waliyoiweka madarakani kwa kuihoji juu ya matumizi ya fedha zao. Hii ndio sababu kuna office ya CAG ambayo nimekosa jicho la wananchi kwenye maswala yahusuyo fedha zao.
Tatizo ni kwamba wenye akili na maarifa na wenye elimu wamenyamaza na kuwaacha walumbavu na wajinga wajiinue. Kuna kundi kubwa la wananchi wasiolipa kodi moja kwa Moja hivyo hawaoni thamani au wajibu wao Katika kujua kwamba Rais Hana fedha Ila fedha ni mali ya wananchi. Rais hatafuti fedha ndio maana hata mikopo itahitaji idhini ya Bunge ambacho ni chombo cha uwakilishi WA wananchi kwa Pamoja na malengo mengine kusimamia na kuishauri serikali ambayo head wake ni Rais. Wabunge na Bunge wangeelewa kwamba wana wajibu wao kikatiba kusimamia serikali kwa Niaba ya wananchi hata siku moja tusingeona wanapiga magoti kuomba fedha za miradi ya maendeleo Kama hisani au kushangilia wasimamia haki wakifukuzwa bungeni na Kuacha kuwawakilisha wananchi Pamoja na matakwa yao.
 
Unaposema hivyo unamaanisha huyo raia namba moja hata watu wasipolipa kodi ataleta hela!?
Ungemuuliza maswala yafuatayo:
umri wake.
Elimu yake
Anaishi kwa Nani na Kama ana FAMILIA
Kazi yake Halali anayoifanya
Uelewa wake wa namna serikali inavyopatikana na wajibu wa wananchi na serikali.
Akikujibu Utakua na basis ya kumuuliza maswali yanayofuata
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimetafakari sana jinsi wanasiasa wanashindwa kutenganisha hisani ya rais na sio pesa za kodi. Hizo kauli zinafanya watu waone kwamba kumbe hata wasipolipa kodi wataletewa na rais jambo ambalo sii kweli hata kidogo.

Natamani msisitizo mkubwa uwe hili dalaja ni kodi zenu zimejenga hospitali nayo ni kodi zenu zimejenga nk
Badala ya kuwahaza watu ujinga kwamba hizi hela zimeletwa na rais.

Dhana hiyo hutafsiriwa kama vile rais ni kama baba watoto anavyotafutia mahitaji watoto wake, ambapo wao hawana mchango wowote.
Umenena vyema sana, ni ajabu Rais naye anaridhia huu ujinga na utoto na akijua kabisa kuwa zile ni pesa za kodi na mikopo ambayo bado italipwa na wananci tu.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimetafakari sana jinsi wanasiasa wanashindwa kutenganisha hisani ya rais na sio pesa za kodi. Hizo kauli zinafanya watu waone kwamba kumbe hata wasipolipa kodi wataletewa na rais jambo ambalo sii kweli hata kidogo.

Natamani msisitizo mkubwa uwe hili dalaja ni kodi zenu zimejenga hospitali nayo ni kodi zenu zimejenga nk
Badala ya kuwahaza watu ujinga kwamba hizi hela zimeletwa na rais.

Dhana hiyo hutafsiriwa kama vile rais ni kama baba watoto anavyotafutia mahitaji watoto wake, ambapo wao hawana mchango wowote.
Ni ujinga haswa, pesa ni za serikali na siyo mali ya mtu
 
Back
Top Bottom