Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Usikute yupo hapo kwa Mparange..!!Basi nenda Ulaya
hujui tu huko ulaya kuna timu ilifungwa waliofungwa wakawavizia mashabiki wa upande mwengine wakaanza kuwapiga! mpk polisi waliingilia kati!Watanzania hawajui mpira kwa kweli. Ushabiki gani huu unaovuka mipaka hata ulaya huwezi Kuta hii ushamba wa YANGA na Simba.
punguza ushamba acha tu enjoy wengine hatuna timu ila vioja na vichekesho vinavyotokea kweye mpira ndio furaha yetu......Watanzania hawajui mpira kwa kweli. Ushabiki gani huu unaovuka mipaka hata ulaya huwezi Kuta hii ushamba wa YANGA na Simba.
Sio ushamba ukweli ni kwamba watanzania hamjui mpira Wala kushabikia ๐๐๐๐punguza ushamba acha tu enjoy wengine hatuna timu ila vioja na vichekesho vinavyotokea kweye mpira ndio furaha yetu......
Wewe ni Mwarabu fake sio?Sio ushamba ukweli ni kwamba watanzania hamjui mpira Wala kushabikia ๐๐๐๐
acha ushambaSio ushamba ukweli ni kwamba watanzania hamjui mpira Wala kushabikia ๐๐๐๐
Hakuna sehemu mshabiki wa simba kasema azam anachukua kombe[emoji599]KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI :
1. Timu tunayo ni suala la muda tu
2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio
3. Mbona hamjatufunga tano
4. Azam anachukua hili kombe
5. Refa ametunyima penati ya wazi
Ongezea Maneno mengine unayoyasikia huko
FOLLOW Lakezone Sports
#NgaoYaJamii2024 #๐๐๐ธ๐ฒ๐๐ฝ๐ฑ๐ฎ๐๐ฒ๐View attachment 3065057
Tunaona mwanga[emoji599]KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI :
1. Timu tunayo ni suala la muda tu
2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio
3. Mbona hamjatufunga tano
4. Azam anachukua hili kombe
5. Refa ametunyima penati ya wazi
Ongezea Maneno mengine unayoyasikia huko
FOLLOW Lakezone Sports
#NgaoYaJamii2024 #๐๐๐ธ๐ฒ๐๐ฝ๐ฑ๐ฎ๐๐ฒ๐View attachment 3065057
Wewe ndiyo mshamba haujui hata mpira unashabikia ili mradi tuacha ushamba
AahaaaaaMuhimu chama HAJAFUNGA
[emoji599]KAULI ZA WANA SIMBA BAADA YA MECHI :
1. Timu tunayo ni suala la muda tu
2. Kocha tunaye ila mukwala apunguze mikimbio
3. Mbona hamjatufunga tano
4. Azam anachukua hili kombe
5. Refa ametunyima penati ya wazi
Ongezea Maneno mengine unayoyasikia huko
FOLLOW Lakezone Sports
#NgaoYaJamii2024 #๐๐๐ธ๐ฒ๐๐ฝ๐ฑ๐ฎ๐๐ฒ๐