Kaunti ya Bungoma, mwizi aliangazia kulia kama Kuku

Kaunti ya Bungoma, mwizi aliangazia kulia kama Kuku

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Je umewahi kusikia adhabu ya mwizi kufanywa kuwa na sifa ya kitu alichoiba?

Basi mtu mmoja aliiba kuku huko Bungoma na mganga akafanywa kuku huyo kulilia katika tumbo lake.

 
kha Hiyo Noma Sana...

Natamani mganga huyo afungue branch Tanzania, hasa dar es salaam, Ukiiba tu simu naenda kwake, milio yote ya simu eheee....itokee tumboni mwa mwizi.....halafu kudadadeki...mimi nasafiri naenda mbeya nakaa huko kama mwezi hivi.....


SIPENDAGI UJINGA MIMI[emoji3][emoji3]
 
Kuna mwizi feki, muibiwaji feki na waandishi wapiga dili. Baada ya mwaka mganga hatakuwa tena kwenye kakibanda hako na usafiri atakuwa nao, kuishi ni mipango.
 
Back
Top Bottom