kha Hiyo Noma Sana...
Natamani mganga huyo afungue branch Tanzania, hasa dar es salaam, Ukiiba tu simu naenda kwake, milio yote ya simu eheee....itokee tumboni mwa mwizi.....halafu kudadadeki...mimi nasafiri naenda mbeya nakaa huko kama mwezi hivi.....
SIPENDAGI UJINGA MIMI[emoji3][emoji3]