Ng'wanza Madaso JF-Expert Member Joined Oct 21, 2008 Posts 2,268 Reaction score 335 Mar 23, 2010 #1 Nimefurahia hii huyu dada na mwanae hapo nyuma,lakini bado kuna walemavu wengine wanataka usafili wa bei ghali.
Nimefurahia hii huyu dada na mwanae hapo nyuma,lakini bado kuna walemavu wengine wanataka usafili wa bei ghali.
Waberoya Platinum Member Joined Aug 3, 2008 Posts 15,168 Reaction score 10,810 Mar 23, 2010 #2 Thats is good! I am happy too, any clue how much? tunaweza kujitoa na kuweka order ya kuvitengeneza vingi kusaidia walemavu!
Thats is good! I am happy too, any clue how much? tunaweza kujitoa na kuweka order ya kuvitengeneza vingi kusaidia walemavu!
Renegade JF-Expert Member Joined Mar 18, 2009 Posts 7,221 Reaction score 6,940 Mar 23, 2010 #3 Ni nzuri na cheap, ila ninahisi kama kama bado kazi inahitajika kupunguza uzito kwa kuwa ni manual operated.
Ni nzuri na cheap, ila ninahisi kama kama bado kazi inahitajika kupunguza uzito kwa kuwa ni manual operated.