Kawaida Ataka Tija Kilimo BBT

Kawaida Ataka Tija Kilimo BBT

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
KOMREDI MOHAMMED KAWAIDA ATAKA TIJA KILIMO BBT

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana UVCCM Taifa Ndugu Mohamed Ali Kawaida amewataka vijana nchini kutokidharau Kilimo na badala yake wakikumbatie na kuiona kama kazi itakayowainua kimaendeleo.

Akizungumza wakati alipotembelea mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (Building Better Tomorrow-BBT) eneo la Bihawana Dodoma ambapo vijana 73 wanafundishwa stadi mbalimbali za kilimo, Kawaida amesema, vijana wakikiona kilimo ni biashara watajikwamua kiuchumi.

Katika kutembelea mradi huo unaotekelezwa katika maeneo 13 nchini huku ukiwakusanya pamoja vijana 812 kwa kuanzia. Mwenyekiti Kawaida aliambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhe. Gerald Mweri.
 

Attachments

  • Ft605zEWYAI_BHn.jpg
    Ft605zEWYAI_BHn.jpg
    141.9 KB · Views: 12
  • Ft607fdXwAEri16.jpg
    Ft607fdXwAEri16.jpg
    189.7 KB · Views: 12
  • Ft609tNXsAQIk1R.jpg
    Ft609tNXsAQIk1R.jpg
    116.6 KB · Views: 13
  • WhatsApp Image 2023-04-17 at 19.31.33(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-17 at 19.31.33(1).jpeg
    60.2 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2023-04-17 at 19.31.33.jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-17 at 19.31.33.jpeg
    60.1 KB · Views: 8
Mwenyekiti wa uvccm?
Tutafika mbinguni na ulimi nje kama mbwa😃😃

I have seen this project's death even before it's birth.😅
 
Back
Top Bottom